Members wengi humu ni madomo zege

Members wengi humu ni madomo zege

Sigonella Island

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
13,470
Reaction score
40,829
Niwazi members wengi kwenye mitandao ya kijamii hujifanya mashujaa wanapokua kwenye keyboard wanatyp pamoja na kwamba hawaonekani lakini bado zege zito lilojaa mdomoni huwafanya kushindwa kuwashawishi mabint na kuwateka kihisia na mwisho huishia kuumia kimyakimya na kuuliza maswali yaleyale ya kidomo zege eti!!:-

(1) Pande zipi

(2) Unaitwa nani

(3) Vipi mvua huko

(4) Karibu kwetu

(5) Naomba namba ya simu

(6) Mmeo hajambo

Kama umempenda mtoto mwambie ukweli hauwezi kupigwa makofi atakubali au kukukatalia........Amuka acha uboya
25396264_877536939090654_5745278573606899513_n.jpeg
 
Niwazi members wengi kwenye mitandao ya kijamii hujifanya mashujaa wanapokua kwenye keyboard wanatyp pamoja na kwamba hawaonekani lakini bado zege zito lilojaa mdomoni huwafanya kushindwa kuwashawishi mabint na kuwateka kihisia na mwisho huishia kuumia kimyakimya na kuuliza maswali yaleyale ya kidomo zege eti!!:-

(1) Pande zipi

(2) Unaitwa nani

(3) Vipi mvua huko

(4) Karibu kwetu

(5) Naomba namba ya simu

(6) Mmeo hajambo

Kama umempenda mtoto mwambie ukweli hauwezi kupigwa makofi atakubali au kukukatalia........Amuka acha uboya View attachment 1110631
Itakuwa walikudharau una sura kama kibwengo nani atakuoa
 
Niwazi members wengi kwenye mitandao ya kijamii hujifanya mashujaa wanapokua kwenye keyboard wanatyp pamoja na kwamba hawaonekani lakini bado zege zito lilojaa mdomoni huwafanya kushindwa kuwashawishi mabint na kuwateka kihisia na mwisho huishia kuumia kimyakimya na kuuliza maswali yaleyale ya kidomo zege eti!!:-

(1) Pande zipi

(2) Unaitwa nani

(3) Vipi mvua huko

(4) Karibu kwetu

(5) Naomba namba ya simu

(6) Mmeo hajambo

Kama umempenda mtoto mwambie ukweli hauwezi kupigwa makofi atakubali au kukukatalia........Amuka acha uboya View attachment 1110631
Ila kuna wanaume wanajua kujitoa ufahamu aisee
 
Back
Top Bottom