Members wengi humu ni madomo zege

Members wengi humu ni madomo zege

Mi nilipitia udomo zege nikaona nakosa nyama nimeacha huo uboya Sasa ivi ukinionyesha mwanya napenya nakumwagia mbegu
Mbegu za nini?
Kijana kuwa na heshima na maneno yako!
Wazazi wako tunakuangalia tu,au ndio balehe zinakusumbua?
 
Naweza kujifanyia lolote ninalolitaka au kuliamini bila ya woga , Ila confidence yakumface Woman dah ni shida sana
Sasa unaogopa nn mkuu lazima umface na yeye ameumbwa kusubiria atongozwe tu basi akuvulie pichu umwagie mbegu
 
Back
Top Bottom