Member mpya wa jf

Member mpya wa jf

Atajutra kukufahamu! Soon anapigwa kipapai, sio kwa ulozi uliotukuka😎
Hahaha kipapai ?umenikumbusha mbali ,Kuna kipindi Mimi na mwanangu tuliwahi kuibukia Kambi ya wakimbizi nyarugusu kwa lengo la kuvizia unga wao wa msaada kutoka USAID miaka hiyo wao walikua wanauita majhone, yellow flour, mwanangu akaoza mguu wakasema amepigwa kitu wao wanaita mlamboo a.k.a kipapai.
Lakini alipona baada ya kwenda nao Sako tu bako
 
Hahaha kipapai ?umenikumbusha mbali ,Kuna kipindi Mimi na mwanangu tuliwahi kuibukia Kambi ya wakimbizi nyarugusu kwa lengo la kuvizia unga wao wa msaada kutoka USAID miaka hiyo wao walikua wanauita majhone, yellow flour, mwanangu akaoza mguu wakasema amepigwa kitu wao wanaita mlamboo a.k.a kipapai.
Lakini alipona baada ya kwenda nao Sako tu bako
Dohh! Watu mna historia🤔 kwahiyo akawaroga back🙊
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom