Member from Mwanza

Great Thinkers, natafuta mwenyeji mwanza. I am here for few days.

Mkuu kwanza pata karibu warmly!
Kama ulivyogusiwa ni sahihi kabisa, mie niko Rock ciry! Bt rite now nimechepuka kiduchu katika utafutaji wa daily bread.
Niko Sirari boder, bt keshokutwa wednesday nitakua nishafika Mwz, utakuwepo? Napenda sana wageni wa Jf.
 
Mkuu kwanza pata karibu warmly!
Kama ulivyogusiwa ni sahihi kabisa, mie niko Rock ciry! Bt rite now nimechepuka kiduchu katika utafutaji wa daily bread.
Niko Sirari boder, bt keshokutwa wednesday nitakua nishafika Mwz, utakuwepo? Napenda sana wageni wa Jf.
Dah kijana umenikumbusha mapanga shaaaaa
Ukiwa unarudi Mwanza ulifika njia panda ya Tarime naomba unichukulie ndizi na karanga za kuchemsha...sawa mume wa Husninyo...
 
ha ha ha, ujue tayari nina mme
afu sijui kanitia limbwata siku hizi?

Nimeanza kumpenda kwa kasi kweli, kama limbwata ni tamu hivi bora aliongeze aisee ili niwe zezeta wa mapenzi zaidi lol

We kaa hukohuko hadi upate mchumba
 
Ngoja nitafute
ujue fisi sasa hivi wameadimika kweli, hii environment conservation inahusisha hadi fisi eti.

Mama Masanja sijui ana mpango wa kutoka leo, ngoja nikamwazime.

tumia usafiri asili utafika tu..
 
ha ha ha, ujue tayari nina mme
afu sijui kanitia limbwata siku hizi?

Nimeanza kumpenda kwa kasi kweli, kama limbwata ni tamu hivi bora aliongeze aisee ili niwe zezeta wa mapenzi zaidi lol

Hahahahahahaaaa limbwata ikiwekwa kupitia maziwa ya mgando huchomoki kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom