Ericb kweli eh!, wewe uko Mwnz?
poa, nikitoka huku nitaingia Atown . I may check on you
Dah Villa wapo...pia hata Kirumba resort wanapatikana tena bomba sananimefikia Peace Hotel. Now naenda kutafuta samaki choma, naambiwa vila kuna samaki, wapatikana wapii?
Great Thinkers, natafuta mwenyeji mwanza. I am here for few days.
Dah kijana umenikumbusha mapanga shaaaaaMkuu kwanza pata karibu warmly!
Kama ulivyogusiwa ni sahihi kabisa, mie niko Rock ciry! Bt rite now nimechepuka kiduchu katika utafutaji wa daily bread.
Niko Sirari boder, bt keshokutwa wednesday nitakua nishafika Mwz, utakuwepo? Napenda sana wageni wa Jf.
Jamani mie niko Chibuji, nitafikaje mlipo?
We kaa hukohuko hadi upate mchumba
Jamani mie niko Chibuji, nitafikaje mlipo?
tumia usafiri asili utafika tu..
ha ha ha, ujue tayari nina mme
afu sijui kanitia limbwata siku hizi?
Nimeanza kumpenda kwa kasi kweli, kama limbwata ni tamu hivi bora aliongeze aisee ili niwe zezeta wa mapenzi zaidi lol