Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
membe si mbaya hata kidogo
ila uraisi wa nchi hapana, hawezi kuua hata mbu?
Hawezi fanya maamuzi hata ya ale kitumbua au andazi.
Yee abaki tu kupendezesha wizara wizara lakini uraisi tunataka mtu atakayefanya 'KAZI'
tumechoka wanamme wanaosifiwa kwa sura.
ila uraisi wa nchi hapana, hawezi kuua hata mbu?
Hawezi fanya maamuzi hata ya ale kitumbua au andazi.
Yee abaki tu kupendezesha wizara wizara lakini uraisi tunataka mtu atakayefanya 'KAZI'
tumechoka wanamme wanaosifiwa kwa sura.
Acha kuunganisha vitu visivyo na mantiki hata kidogo fanya utafiti kwanza kama humpendi membe acha kazi wizara hiyo katafute kazi pengine