Membe umefaulu mtihani wa kwanza, songa mbele!

1583132075008.png
 
Maelezo mengi msingi wake unampa moyo,
ajiunge upinzani ajaribu bahati yake ,ila ndani ya ccm siioni nafasi yake,na asking'anta'nia inaweza kuwa ndio mwisho wake kisiasa
 
Maelezo mengi msingi wake unampa moyo,
ajiunge upinzani ajaribu bahati yake ,ila ndani ya ccm siioni nafasi yake,na asking'anta'nia inaweza kuwa ndio mwisho wake kisiasa
Membe ni mtu huru, kwa sasa hana chama, kafukuzwa uananchama CCM kwa sababu ya kutaka kugombea uraisi.

Kwa hiyo anahaki ya kujiunga chama kingine cha siasa nchini.

2020 Twende na Membe
 
Kwa maneno haya ya huu msiba,nimeshaamini yasemwayo kuwa hii ni CCM kwa matamshi mengine ambayo yako tofauti na yale ya Chama Cha mapinduzi.
 
Nani kakuambia, ukaamini, kwamba Membe katoka CCM? Bado hujaijua CCM na TISS hadi leo? Membe yuko kazini. Wapinzani wanapaswa kulifahamu hilo na kuwa na hadhari. Alisema mwenyewe "niguse ninuke". Keshaguswa na sasa ananuka. Atawaharibia wapinzani kwa uvundo wake.
 
Membe atakuwa na wafuasi japo sio wengi.Lakini hakutegemea wafuasi kwani yeye anaamini kwenye manipulation,kitu alichofundishwa akisaka carrier na wasiojulikana.

Lakini ili afanikiwe hilo alitakiwa awe ndani ya CCM.Kibaya zaidi Magu amefanyia complete overhaul and upgrade vikosi vya ulinzi na usalama,hata system configuration usishangae wanatumia za MOSSAD.Membe hana access tena kama awali.

Kitendo cha kufukuzwa CCM,na mabadiliko ya vyombo vya Intelligencia wamemtupa mbali na ndoto yake ya kuwa Raisi wa Jamhuri ya Tanzania.

Lakini amebakiwa na karata mbili Pesa yake na Godfather.October bado ni mbali.
 
Nani k

Nani kakuambia, ukaamini, kwamba Membe katoka CCM? Bado hujaijua CCM na TISS hadi leo? Membe yuko kazini. Wapinzani wanapaswa kulifahamu hilo na kuwa na hadhari. Alisema mwenyewe "niguse ninuke". Keshaguswa na sasa ananuka. Atawaharibia wapinzani kwa uvundo wake.

Achana na conspiracy theory wewe. Membe siyo wa kwanza kufukuzwa uanachama CCM, amewahi kufukuzwa Maalim Seif, na huyo Seif ndo anawasumbua CCM hukonZanzibar mpaka leo
 
Achana na conspiracy theory wewe. Membe siyo wa kwanza kufukuzwa uanachama CCM, amewahi kufukuzwa Maalim Seif, na huyo Seif ndo anawasumbua CCM hukonZanzibar mpaka leo
Mkuu hawa watu hawafanani na mazingira ya kufukuzwa kwao hayafanani, lkn kubwa zaidi historia ya kazi zao hazifanani. Membe anapaswa kuchukuliwa kwa thadhari kwa uzoefu ambao umekuwa ukujitokeza hivi karibuni wa watu kuhamia upinzani kutoka CCM na baadae wakarudi baada ya kumaliza kazi walizopewa. Ya Sumaye na Lowassa yanapaswa kuwa mambo ya kufanyiwa rejea. Membe kuenda ACT ni mpango kwa vile chama hicho kinaonekana, kwa mawazo yangu, kinakuja kuwa tishio hasa kwa uwepo wa Zitto najuwezekano wa yeye kugombea urais 2020.
 
Hakuna cha mchezo wa kuigiza, Membe alikuwa anautaka uraisi kweli na hilo ndo lilikuwa kosa lake kubwa mbele ya bwana mkubwa.

Lowasa alifanya kweli mwaka 2015, Bwana Mkubwa anajua na Tume inajua. Na nguvu kubwa ya kuonea wapinzani na kununua wanaonunulika na wengine kuwaminyia njia zao halali za uchumi. Yote hii ni kwa sababu wana hofu ya kiluchowakuta mwaka 2015.

Itakuwa ni makosa makubwa wananchi kukubali kuaminishwa kuwa kila anayepambana na bwana mkubwa ndani ya CCM basi kisirisiri yuko naye.

Endelea kuwashauri kiaina upinzani wamchukue membe maana vichwa vyao ni sawa na kenge unapiga na mawe yeye hasikii mpaka akate roho, nawafananisha na mtu anayenunua dhahabu au almasi iliyookotwa imedondoshwa na mzungu kisha mshamba akaiokota, eti hajui thamani yake na pa kuuza hajui, sasa unaona umepata bonge la dili unatoa pessa kununua eti unamkomoa mshamba, baada ya manunuzi unaanza kutafuta soko kila unapopita wanakuona mwehu, sasa ndio Menmbe na upinzani, tunasubili muda tu. Watakapostuka muda nao utakuwa umeisha.
 
Mkuu;
Umeandika mada ndefu bila kujua kuwa majibu ya mada yako yalishatolewa na kijana wa ''Membe''!

Mwaka 2012, Nape Nnauye aliwahi kusema kwenye kipindi cha Jambo Tanzania, TBC kuwa, "Samaki ukimtoa majini hana nguvu, CCM ni taasisi na ina nguvu, ukitaka kuwa na nguvu inabidi uwe ndani ya CCM, bila CCM mwanasiasa huwezi kuwa na nguvu, tutawatoa majini hawa samaki".

Maneno ya Nape Nnauye yalililenga kundi la Edward Lowassa na timu yake (Timu Lowassa) wakati wa vurugu za kisiasa ndani ya CCM. Maneno ya Nape yalidhihirisha ukweli baada ya Lowassa na kundi lake kuondoka CCM na kujikuta hana nguvu mpaka kuamua kurudi tena CCM.
Kwa siasa za nchi hii, hili ndio la msingi zaidi. Alichosema Nape ndio ukweli halisi, unless mambo yakibadilika mbeleni.
 
Kwa siasa za nchi hii, hili ndio la msingi zaidi. Alichosema Nape ndio ukweli halisi, unless mambo yakibadilika mbeleni.

Mti utaupima kwa matunda yake
Membe amesimama na kuhesabiwa
Amekataa kuwa muimba mapambio
Amekataa kulamba mtu viatu

Mwanasiasa wa aina hii mwenye misimamo isiyoyumba kwenye masuala ya kutetea demokrasia, haki na maendeleo ndiye anayetufaa.

Membe amejipambanua katika hilo kwa hiyo ni mtu anayetufaa sana
 
sina njaa hizo babu, na siyo mfuasi wa huko unakofikiria, we ndo unaishi kwa kuwaandikia watu ili mkono uingie mdomoni, mi niko solo, na ukweli ndo huo, upinge kwa hoja siyo viroja, hilo ni jibu la mtu aliyeishiwa hoja ndo anayeona kila anayeandika kilicho kinyume na wazo lake ni mfuasi wa mtu fulani.
Utaongeleaje mtu ukose mkate wa kila siku. Ukishakuwa muoga na muendekeza njaa huwezi simama ktk kila unachokiamini zaidi tena ukiwa sio muadilifu.

Utaugulia tu ili mradi mkono uende kinywani.

Tutabadirika pale hizo tabia nilizotaja hapo juu zitakapo koma.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom