Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,423
- Thread starter
- #41
Kama wana undugu ni wa kalamu sio wa Damu.Membe na Kikwete wana undugu?
Kama wana undugu ni wa kalamu sio wa Damu.Membe na Kikwete wana undugu?
Ni ndugu. Baba mmoja mama tofauti. Pia ni dini moja.Membe na Kikwete wana undugu?
wewe ni mwongo,baba ya Mh Membe alishafariki, Rondo kwa ajali ya bunduki.Mzee Kamilius Membe.
s Let go to the line,middle name or sir name it is not a matter.Point of correction: baba yake mh Membe ni marehemu Kamilius Anthony. Sio Kamilius Membe.
s Let go to the line,middle name or sir name it is not a matter.
Ukana taratibu mkuu, hakuna mtu anayeitwa Kamilius Membe kwenye familia ya Mh Membe. Wala hakuna anayeitwa Kamilius Anthony Membe kama unavyofikiria. Baba yake Mh ni marehemu Kamilius Anthony Kambona, na mama yake Mh ni marehemu Cecilia John Membe. Mtoto waliomzaa ni Bernard Kamilius Membe. Kabila la wamwera ambalo Mh Membe yumo wao uchukuwa sir name kutoka kwa mama, hivyo basi Membe ni jina la ukoo la mama yake Mh. Ukisema baba wa Mh ni Kamilius Membe manake baba wa Mh ni aidha kaka yake au mjomba wake. So yes it matters....a lot.
Baba yake ni Mchewa wa Malawi......ukoo wa Mama...membe.
mkuu yaani jamaa anavyopiga jaramba na gea anayotumia kuwarubuni vijana kuingia kwenye camp yake ni kuwa yeye ndiyo presida coz amekuwa endorsed with outgoing presida.hofu yangu kakitika kutekeleza adhama yake basi kucha za watu zitajaa makontena
unatoka nje ya mstari mkuu,Ukana taratibu mkuu, hakuna mtu anayeitwa Kamilius Membe kwenye familia ya Mh Membe. Wala hakuna anayeitwa Kamilius Anthony Membe kama unavyofikiria. Baba yake Mh ni marehemu Kamilius Anthony Kambona, na mama yake Mh ni marehemu Cecilia John Membe. Mtoto waliomzaa ni Bernard Kamilius Membe. Kabila la wamwera ambalo Mh Membe yumo wao uchukuwa sir name kutoka kwa mama, hivyo basi Membe ni jina la ukoo la mama yake Mh. Ukisema baba wa Mh ni Kamilius Membe manake baba wa Mh ni aidha kaka yake au mjomba wake. So yes it matters....a lot.
hata mimi ni mmwera,pia nimechukua ukoo wa mama, kwa wamwera nafahamu,ila tustic kwenye heading ya uzi wangu.Ukana taratibu mkuu, hakuna mtu anayeitwa Kamilius Membe kwenye familia ya Mh Membe. Wala hakuna anayeitwa Kamilius Anthony Membe kama unavyofikiria. Baba yake Mh ni marehemu Kamilius Anthony Kambona, na mama yake Mh ni marehemu Cecilia John Membe. Mtoto waliomzaa ni Bernard Kamilius Membe. Kabila la wamwera ambalo Mh Membe yumo wao uchukuwa sir name kutoka kwa mama, hivyo basi Membe ni jina la ukoo la mama yake Mh. Ukisema baba wa Mh ni Kamilius Membe manake baba wa Mh ni aidha kaka yake au mjomba wake. So yes it matters....a lot.
Wakuu
heshima kwenu,
Baada ya kutafakari kwa kina,kutokana na CCM kuonekana hakuna mtu
anayefaa kwa urais kadiri ya wanajamvi wengi,mimi leo nadiriki kusema Mh
Benard Membe Ndio turufu pekee ambayo CCM wanaweza Kumtumia angalau
chama kikauzika kwa kiasi kidogo,japo kuwa atakuwaa na kazi kubwa Mbele
Ya DR SLAA endapo CHADEMA itamsimamisha.
Mgombea mwingine nje ya Membe ni kujitakia CCM Ishindwe kwa kishindo.
Nawasilisha.
leta evidence kuwa
Membe ni mwislamu,yeye ni mristu,ni mtu ambaye mimi namfahamu,siongei
kwa kubahatisha,kusema alikwa mseminarist ni kuonyesha ninavyomfahamu,na
mpaka sasa yeye ni mkristo,sikukuu zote kubwa Pasaka huwa kwao Rondo na
anaingia kanisani kusali,hata Pasaka hii alikuwa kwao Rondo,je wewe
umewahi kumwona msikiti gani akiswali?