JAMII FORUM,HESHIMA MBELE,UKWELI BILA KIFICHO,JUKWAA LENYE MANUFAA NA LINALOTUFAA,,
TUNAENDELEA,NA TUACHENI TU WATU WA KUSINI TUENDELEE KUITETEA RASILIMALI HII KWA MASLAHI YA TAIFA,,
KATIKA KILE KINACHOZID KUONESHA NI KWA JINS GANI WATU WA KUSINI TULIVOKOSA UZALENDO,UCHUNGU,NA KUJITAMBUA BERNAD CAMILIUS MEMBE AMEENDELEZA KUTUONESHA NI JINS GANI ALIVYO JOKA LA KIDIMU KWA KUKAA KIMYA HADI WAKATI HUU KAMA WAZIRI MWANDAMIZI WA SERIKALI HII YA MAFISADI HUKU WAPIGA KURA WAKE WAKIZID KUDHARAULIWA PINDI PALE WALIPOONYESHA NIA YAO YA DHATI KATIKA KUIPIGANIA GESI KWA MANUFAA YA WATANZANIA,,
MEMBE NI MIONGONI MWA WALE MALIMBUKENI WA SAMPULI YA LAZARO NYALANDU,HAND TO MOUTH POLITICIANS,NAME DROPPERS,PEOPLE WITH NO CONFIDENCE,HYPOCRITICAL FIGURES NA MENGIYO YA KUCHUKIZA KATIKA SIFA ZAKE,,KWA UFUPI NI LIMBUKENI NA CHAKUBIMBI KAMA CCM YAO,,
KWANINI MEMBE HAZUNGUMZI CHOCHOTE NA YUPO KIMYA KUHUSU GESI??
1.yeye ni wazir wa mambo ya nje,yumkini ni wale wale sampuli ya mkuchika na ghasia na chikawe ambao ni makuwadi wa jk katika kuiuza gesi hii,wote wamechukua 10 percent zao.,
2.kwa kuwa yeye ni wazir wa mambo ya nje upo uwezekano kahusika moja kwa moja kwenye kusign mikataba mibovu ya kuhujum gesi hii ya watanzania,
3.anahofia kwenda KINYUME na boss wake jk hasa ukizingatia jk ndie mwenye mamlaka ya mwisho katika kupitisha jina la mrithi wake katika urais huu unaokuja,
4.ni hulka ya watu wa kusiini ya kuvaa sifa za ujoka la kidimu,kutojiamin,ulimbukeni ili mradi tuh apate mamlaka na kujaza tumbo ili waende chooni,na bila shaka hulka hii leo inawahukumu,,
salam kwa membe,wanakusini na watanzania kwa ujumla tunajua kwanini yeye yupo kimya,ila katika harakati ambazo zimeanzishwa hakuna atakaerudi nyuma,gesi hii itapiganiwa hadi tone la mwisho la damu yetu,tutaipigania gesi hii kwa ajili ya manufaaa ya vizazi vyetu vijavyo,wewe endelea na mbio zako za urais huku ukisahau kuwa gei ndio kaburi lenu kwa kanda hii ya kusini
MODS NAOMBA HUU UZI NA UZI ZINGINE ZA GESI ZISIUNGANISHWE ILI UJUMBE UWAFIKIE KUWA SUALA LA GESI LIMECHUKUA TASWIRA PANA KILA PEMBE YA NCHI HII,,
MEMBE TUTAKUTANA 2015 KAMA KWELI NDOTO HIYO UNAYO..