The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,259
- 17,456
Mtu mwenye akili zake hawezi kummunga mkono Ngeleja ...........................!!
Kwa mwendo huu kuna siku mtakuja kumpigia debe singh seth kugombea urahisi
Wanasema "mcheza kwako hutunzwa" lakini wapi!! Ndio mpare ampe kuwa?!VITA UCHAGUZI 2015
Kwanini JK atamwachia Mikoba Hii ni kutokana na Kukubalika na wanachama wengi na watanzania wengi kwa ujumla wao ambao wamehaidi kumpigania Mh Ngelejah endapo atasimamishwa kugombea nafasi Hiyo ambayo inaonyesha wazi ndiye mrithi sahihi hivyo watu wa tanzania wajiandae kushirikiana na mh ngeleja katika mqpambano hayo yenye kuleta tija kwa watanzania kwa ujumla
SHIME TANZANIA ,NGELEJA TISHIO NA ATOSHA 2015 TANZANIA....
Nilikuwa najiuliza swali hilohilo....bila shaka huyu hayupo sawa.
Sperm wasted!!!!
vitani unatanguliza mgambo kupima nguvu ya mashambulizi, kesho wata test mwingine, watakuja na muchimbi sasatishio la wizi au? Mnatudharau sana watanzania. Mnapima upepo