Mkuu Simplemind, the last chance ya Mzanzibari kuwa rais wa JMT, ilikuwa 2010 kupitia Dr. Salim, CCM lost the chances and will never come again!.
CCM imekuwa ikichaguliwa kwa kupendwa/kuaminiwa na kwa mazoea, sasa CCM haipendwi tena kivile, haiaminiki na wale wa mazoea wameanza kuamka, hivyo CCM has lost the mandate to rule from peoples hearts, as a result, wenyewe, wenye nchi yao, wameamka, sio watu tena wa kupelekwa pelekwa kwa kuwaletea Mzanzibari kuwatawala!.
Japo CCM ingependa sana kusimamisha Mzanzibari ili kuwapooza Wanzanzibari na hasira za muungano, Mzanzibari pekee aliyepo as of now ni Dr. Shein, but very unfortunately, kwa wabara hauziki, hivyo CCM hawawezi kufanya kosa hilo!.
Nionavyo mimi, hakuna tena nafasi kwa Mnzanzibari mwingine yoyote, kushika urais wa nchi yetu, no.. never..!.
Niiteni mbaguzi, but this is a fact!, kama wapiga kura wengi ni wabara, tumechoka na tutasema no!.
Cha muhimu ni Wazanzibari, waitumie fursa hii adhumu ya mabadiliko ya katiba, katiba itamke wazi kuwa urais nao upishanwe rasmi kati ya bara na visiwani, vinginevyo kwenye urais, Wanzanzibari wataishia kuusikia kwenye bomba tuu!.
Pasco.