Membe na Lowassa waungana kuelekea urais 2015...

Membe na Lowassa waungana kuelekea urais 2015...

Kazi ya Urais si rahisi kama wengine wanavyofikiria, hasa kwa Tanzania na pale ilipo na tunayoyaona. Hawa wawili hawana vigezo chanya vya kazi hiyo. Mimi bado ninasubiri mwenye sifa, nia, uelewa na uzalendo wakukidhi haja ajitokeze. CCM wawe waangalifu katika kupendekeza mgombea vinginevyo upinzani watachukuwa madaraka na kuleta mfarakano mkubwa pasikalike hapa!
 
Lowassa na Membe bado mahasimu. Wote bado wanautaka urais 2015.
wanautaka urais wa nchi gani?kama ni tanzania DR SLAA 2015 ndiye rais kama mnaweza jadili hilo tutakuwa pamoja
 
Katika hali ambayo si
yakutengemea kwa wana C.C.M,hususani viongozi wa ngazi za juu za chama
hicho tawala nchini wamejikuta wakiwa wamengawanyika sana katika masuala
yanayohusu uchaguzi wa umoja wa vijana UVCCM,hii inatokana na waziri wa
mambo ya nje na mwana C.C.M kutoka jimbo la tama mh.Membe,kuamua
kuungana na mh.Lowasa ili kuandaa safu ya uongozi wa vijana UVCCM.

Ni ukweli usiopingika kuwa wawili hawa hapo awali walikuwa ni mhasimu
wakuu wa kisiasa hususani katika kutafuta uungaji mkono ndani ya chama
na kwa wananchi ili kuupata Urais baada ya JK 2015,kwa hali ya sasa
wawili hawa wameungana na kuunda kambi moja itakayokuwa na ushawishi
mpana ndani ya C.C.M kwa kuhakikisha kuwa wanaunda vikosi viwili
hahususi vitakavyo simamia mchakato uchaguzi kuanzia ngazi ya
wilaya,mikoa na taifa.Vikosi hivi ni;

i.Kikosi kinachoongozwa na H.Bashe na Fredy Lowasa-ambacho mwasisi wake
akiwa mh.Lowasa

ii.Kikosi kinachoongozwa na Gottani-ambacho mwasisi wake ni mh.Membe.

Taarifa kutoka ndani ya vikosi hivi zinaonyesha kuwa kwa sasa vinafanya
kazi kwa pamoja ili kuhakikisha kuwa safu ya uongozi wa UVCCM inakuwa ni
ili wanayoweza kuipa maelekezo kuelekea 2015.Kwa sasa wamekamilisha
mkakati wa kuhakikisha kuwa uongozi wa kitaifa wa UVCCM hususani ni
mwenyekiti na makamu wenyekiti kuwa wafuatao wanashinda kwa njia zozote
zile;
1.JAMARI-M/kiti.
2.ANTONY MAVUNDE-Makamu m/kiti

Na kwamba H.Bashe amezungukia umoja huo kwa madhumuni ya kuhakikisha
kuwa anawaweka sawa makatibu wa UVCCM,ikumbukwe kuwa makati wa UVCCM
walipokuwa Dodoma mwaka huu walikutana na BASHE Dodoma hoteli na
kuwanunulia chakula,rushwa ya 50000 na kugharimia gharama zote za vyumba
walivyofikia.GOTTANI naye amekuwa mstari wa mbele katika kutoa pesha
kwa wagombea katika ngazi zote.Lakini pia wanaendesha kampeni kwa sasa
kinyume na taratibu za uchaguzi wa UVCCM.

Lakini,pia kugawanyika kwa viongozi wakubwa wa C.C.M wamendelea kuwa na
maswali yaliyokosa majibu kama vile;

1.Je?Membe alikuwa anatumiwa na Lowasa ili kufuatilia nyendo za
SITTA,MWAKYEMBE na kundi lao la wapambanaji kwa ajiri ya urais 2015.

2.Je?Membe amekubali kuanza kupiga jelamba la uwaziri mkuu 2015,akiwa
chini ya LOWASA kama rais wake.

3.Je?Membe na Lowasa wanategana ili kufanikisha malengo ya mmoja wao au
mmoja anatumiwa vibaya na mwezake.

Katika hali kama hii UVCCM inajikuta tena kwenye vimbi lingine ambalo
laweza kuhakikisha kuwa unasambalatika au unateka wa wenye fedha.UVCCM
na wadau wake wote lazima wasikubali kutumiwa na kupewa rushwa na
kuiacha tasisi ikivujika mchana kweupe kumbukeni kuwa uchaguzi huu
ulenge kuwapata viongozi na si wala rushwa maana watashindandwa kufanya
siasa zidi ya vyama vya upinzani kama vile CHADEMA.

Source,katibu wa UVCCM-MKOA

Uongo mtupu. Membe na Lowassa bado paka na panya. unataka mashabiki wao waungane. Yaani membe awe sehemu ya mafisadi! Never on earth.
 
pamoja na mipango yao kama ipo uvccm hawana uwezo wa kuwaingiza magogoni.
 
​nape nae kachangia kuvujisha habari sababu tayari woga umemjaa akisikia lowasa anaelekea ikulu

Lowasa akiingia ikulu nape career yake ccm hakuna tena maana lowasa lazima ampige chini...
 
Dont get me wrong here son,its his poor health condition which worries me.

thanx I hope you are his personal medical doctor , thanx for information about his deteriorating health condition!
 
thanx I hope you are his personal medical doctor , thanx for information about his deteriorating health condition!

All you see is the cash you get,why should you be concerned about his health status.
 
All you see is the cash you get,why should you be concerned about his health status.

Iam human being! I just want to see everybody healthy! whenever anybody fall sick it is my great concern! which cash are you talking about?
 
Katika hali ambayo si yakutengemea kwa wana C.C.M,hususani viongozi wa ngazi za juu za chama hicho tawala nchini wamejikuta wakiwa wamengawanyika sana katika masuala yanayohusu uchaguzi wa umoja wa vijana UVCCM,hii inatokana na waziri wa mambo ya nje na mwana C.C.M kutoka jimbo la tama mh.Membe,kuamua kuungana na mh.Lowasa ili kuandaa safu ya uongozi wa vijana UVCCM.

Ni ukweli usiopingika kuwa wawili hawa hapo awali walikuwa ni mhasimu wakuu wa kisiasa hususani katika kutafuta uungaji mkono ndani ya chama na kwa wananchi ili kuupata Urais baada ya JK 2015,kwa hali ya sasa wawili hawa wameungana na kuunda kambi moja itakayokuwa na ushawishi mpana ndani ya C.C.M kwa kuhakikisha kuwa wanaunda vikosi viwili hahususi vitakavyo simamia mchakato uchaguzi kuanzia ngazi ya wilaya,mikoa na taifa.Vikosi hivi ni;

i.Kikosi kinachoongozwa na H.Bashe na Fredy Lowasa-ambacho mwasisi wake akiwa mh.Lowasa

ii.Kikosi kinachoongozwa na Gottani-ambacho mwasisi wake ni mh.Membe.

Taarifa kutoka ndani ya vikosi hivi zinaonyesha kuwa kwa sasa vinafanya kazi kwa pamoja ili kuhakikisha kuwa safu ya uongozi wa UVCCM inakuwa ni ili wanayoweza kuipa maelekezo kuelekea 2015.Kwa sasa wamekamilisha mkakati wa kuhakikisha kuwa uongozi wa kitaifa wa UVCCM hususani ni mwenyekiti na makamu wenyekiti kuwa wafuatao wanashinda kwa njia zozote zile;
1.JAMARI-M/kiti.
2.ANTONY MAVUNDE-Makamu m/kiti

Na kwamba H.Bashe amezungukia umoja huo kwa madhumuni ya kuhakikisha kuwa anawaweka sawa makatibu wa UVCCM,ikumbukwe kuwa makati wa UVCCM walipokuwa Dodoma mwaka huu walikutana na BASHE Dodoma hoteli na kuwanunulia chakula,rushwa ya 50000 na kugharimia gharama zote za vyumba walivyofikia.GOTTANI naye amekuwa mstari wa mbele katika kutoa pesha kwa wagombea katika ngazi zote.Lakini pia wanaendesha kampeni kwa sasa kinyume na taratibu za uchaguzi wa UVCCM.

Lakini,pia kugawanyika kwa viongozi wakubwa wa C.C.M wamendelea kuwa na maswali yaliyokosa majibu kama vile;

1.Je?Membe alikuwa anatumiwa na Lowasa ili kufuatilia nyendo za SITTA,MWAKYEMBE na kundi lao la wapambanaji kwa ajiri ya urais 2015.

2.Je?Membe amekubali kuanza kupiga jelamba la uwaziri mkuu 2015,akiwa chini ya LOWASA kama rais wake.

3.Je?Membe na Lowasa wanategana ili kufanikisha malengo ya mmoja wao au mmoja anatumiwa vibaya na mwezake.

Katika hali kama hii UVCCM inajikuta tena kwenye vimbi lingine ambalo laweza kuhakikisha kuwa unasambalatika au unateka wa wenye fedha.UVCCM na wadau wake wote lazima wasikubali kutumiwa na kupewa rushwa na kuiacha tasisi ikivujika mchana kweupe kumbukeni kuwa uchaguzi huu ulenge kuwapata viongozi na si wala rushwa maana watashindandwa kufanya siasa zidi ya vyama vya upinzani kama vile CHADEMA.

Source,katibu wa UVCCM-MKOA

labda wameungana mmoja awe kiongozi wa upinzani bungeni na mwingine mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni!rais ni dr.slaa
 
Kwani ukiwa waziri wa nje wa ccm ni lazima ugombee urais?
.....ndio kwa sababu unakua na uzoefu wa kusafiri sana nje, kwa membe awezavunja recodi ya mkuu wa kaya mwenye safari ya 333 ya Ghana;
 
Mkuu Simplemind, the last chance ya Mzanzibari kuwa rais wa JMT, ilikuwa 2010 kupitia Dr. Salim, CCM lost the chances and will never come again!.

CCM imekuwa ikichaguliwa kwa kupendwa/kuaminiwa na kwa mazoea, sasa CCM haipendwi tena kivile, haiaminiki na wale wa mazoea wameanza kuamka, hivyo CCM has lost the mandate to rule from peoples hearts, as a result, wenyewe, wenye nchi yao, wameamka, sio watu tena wa kupelekwa pelekwa kwa kuwaletea Mzanzibari kuwatawala!.

Japo CCM ingependa sana kusimamisha Mzanzibari ili kuwapooza Wanzanzibari na hasira za muungano, Mzanzibari pekee aliyepo as of now ni Dr. Shein, but very unfortunately, kwa wabara hauziki, hivyo CCM hawawezi kufanya kosa hilo!.

Nionavyo mimi, hakuna tena nafasi kwa Mnzanzibari mwingine yoyote, kushika urais wa nchi yetu, no.. never..!.

Niiteni mbaguzi, but this is a fact!, kama wapiga kura wengi ni wabara, tumechoka na tutasema no!.

Cha muhimu ni Wazanzibari, waitumie fursa hii adhumu ya mabadiliko ya katiba, katiba itamke wazi kuwa urais nao upishanwe rasmi kati ya bara na visiwani, vinginevyo kwenye urais, Wanzanzibari wataishia kuusikia kwenye bomba tuu!.


Pasco.

Kwani Rais akiwa mzanzibar inakuwa na tija gani kwa maisha ya kila siku ya mzanzibar?
b.t.w wazanzibar kila awamu wana Rais wao wa zanzibar ambaye ana uhusiano wa karibu zaidi na maisah ya kila siku ya wazanzibar kuliko hata rais wa jamhuri. Mzanzibar anayetaka kulazimisha rais wa jamhuri atoke zanzibar labda kama yeye mwenyewe au watu wake wanataka kushika hiyo nafasi lakini siyo kwa kigezo cha kuboresha maisha ya wazanzibar wote. Huhitaji kuwa Rais wa jamhuri ili uweze kuboresha maisha ya watu wako!
 
Mwisho wa siku wote watakuwa wasindikizaji wa mgombea atakayepitishwa na Chadema. This time round, hatutakubali kuchakachuliwa kirahisi, tutaandamana hadi kieleweke.
 
Katika hali ambayo si yakutengemea kwa wana C.C.M,hususani viongozi wa ngazi za juu za chama hicho tawala nchini wamejikuta wakiwa wamengawanyika sana katika masuala yanayohusu uchaguzi wa umoja wa vijana UVCCM,hii inatokana na waziri wa mambo ya nje na mwana C.C.M kutoka jimbo la tama mh.Membe,kuamua kuungana na mh.Lowasa ili kuandaa safu ya uongozi wa vijana UVCCM.

Ni ukweli usiopingika kuwa wawili hawa hapo awali walikuwa ni mhasimu wakuu wa kisiasa hususani katika kutafuta uungaji mkono ndani ya chama na kwa wananchi ili kuupata Urais baada ya JK 2015,kwa hali ya sasa wawili hawa wameungana na kuunda kambi moja itakayokuwa na ushawishi mpana ndani ya C.C.M kwa kuhakikisha kuwa wanaunda vikosi viwili hahususi vitakavyo simamia mchakato uchaguzi kuanzia ngazi ya wilaya,mikoa na taifa.Vikosi hivi ni;

i.Kikosi kinachoongozwa na H.Bashe na Fredy Lowasa-ambacho mwasisi wake akiwa mh.Lowasa

ii.Kikosi kinachoongozwa na Gottani-ambacho mwasisi wake ni mh.Membe.

Taarifa kutoka ndani ya vikosi hivi zinaonyesha kuwa kwa sasa vinafanya kazi kwa pamoja ili kuhakikisha kuwa safu ya uongozi wa UVCCM inakuwa ni ili wanayoweza kuipa maelekezo kuelekea 2015.Kwa sasa wamekamilisha mkakati wa kuhakikisha kuwa uongozi wa kitaifa wa UVCCM hususani ni mwenyekiti na makamu wenyekiti kuwa wafuatao wanashinda kwa njia zozote zile;
1.JAMARI-M/kiti.
2.ANTONY MAVUNDE-Makamu m/kiti

Na kwamba H.Bashe amezungukia umoja huo kwa madhumuni ya kuhakikisha kuwa anawaweka sawa makatibu wa UVCCM,ikumbukwe kuwa makati wa UVCCM walipokuwa Dodoma mwaka huu walikutana na BASHE Dodoma hoteli na kuwanunulia chakula,rushwa ya 50000 na kugharimia gharama zote za vyumba walivyofikia.GOTTANI naye amekuwa mstari wa mbele katika kutoa pesha kwa wagombea katika ngazi zote.Lakini pia wanaendesha kampeni kwa sasa kinyume na taratibu za uchaguzi wa UVCCM.

Lakini,pia kugawanyika kwa viongozi wakubwa wa C.C.M wamendelea kuwa na maswali yaliyokosa majibu kama vile;

1.Je?Membe alikuwa anatumiwa na Lowasa ili kufuatilia nyendo za SITTA,MWAKYEMBE na kundi lao la wapambanaji kwa ajiri ya urais 2015.

2.Je?Membe amekubali kuanza kupiga jelamba la uwaziri mkuu 2015,akiwa chini ya LOWASA kama rais wake.

3.Je?Membe na Lowasa wanategana ili kufanikisha malengo ya mmoja wao au mmoja anatumiwa vibaya na mwezake.

Katika hali kama hii UVCCM inajikuta tena kwenye vimbi lingine ambalo laweza kuhakikisha kuwa unasambalatika au unateka wa wenye fedha.UVCCM na wadau wake wote lazima wasikubali kutumiwa na kupewa rushwa na kuiacha tasisi ikivujika mchana kweupe kumbukeni kuwa uchaguzi huu ulenge kuwapata viongozi na si wala rushwa maana watashindandwa kufanya siasa zidi ya vyama vya upinzani kama vile CHADEMA.

Source,katibu wa UVCCM-MKOA

Yaani wewe ni kilaza uliyeshindikana kabisaaaaa. Hivi kabisa ktk akili yako unaweza kuwaza kuwa EL atakuja kuwa Rais wa Taifa hili? Nyingi ndio munaomuongezea maradhi ya akili kwa kumpa matumaini kuwa siku moja atakuja kuwa Rais wa Tanzania. Hivi kwanini musiangalie afya kwanza?
Umefanya uchambuzi wa kudhania na kufikiria tu, hakuna facts. Maneno hayo nenda kawadanganye wenzio, sio hapa JF.
 
This time around bila kusimamisha mteule Mzanzibari CCM itaua thana nzima ya usawa ndani ya muungano ie muungano as a partnership of equals. What is that fancy phrase? Yes! sisi yetu macho.
tanganyika hatutaki mzanzibari hawe rais wetu. mwinyi aka mzee wa ruksa yeye ndo aliyeleta system ya kifisadi. wazanzibar wanashidwa kuendeleza kijisiwa chenu ndo mtaweza nchi yetu.
 
Mwisho wa siku wote watakuwa wasindikizaji wa mgombea atakayepitishwa na Chadema. This time round, hatutakubali kuchakachuliwa kirahisi, tutaandamana hadi kieleweke.
nyie tumewazoea, mnashidwa hjalafu mnasema wamechakachua,umesahau ya kutoka bungeni wakati Rais anafungua bunge? Umesahau ya kwenda Ikulu kumuona Rais walio mkataa? Kigeugeu ndio kinawasumbua. Tuta yaona tena 2015.
 
Back
Top Bottom