Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
@Quinine vipi jamaa kachukua fomu?!Okey tusubiri kesho asubuhi
@Quinine vipi jamaa kachukua fomu?!Okey tusubiri kesho asubuhi
@Quinine vipi jamaa kachukua fomu?!
CCM kama chama cha siasa hakipo acha kujidanganya, kilichopo ni kikundi fulani chenye maslahi binafsi kutoka tiss, jwtz na police na idara zingine za serikali wanaotumia jina la ccm na ndio maana viongozi wa ccm karibia wote ni tiss na jwtz, wachache sana ni raia wa kawaida.CCM ime survive mawimbi makubwa na hatari sana huko nyuma. Hapa sioni hatari au tishio lolote kwa CCM. Muundo na oganazesheni yake ambayo ipo kitaasisi sana kulingnisha na vyama vyote vilivyopo nchini ni miongoni mwa nguvu yake kubwa. Kinyume chake anayedhani anakwenda kukibomoa marazote wanakua wanabomoka wao kama individuals!
Nakumbuka hata ANC iliyoanzishwa 1912 wakati fulani ilituma ujumbe kuja kujifunza muundo wa CCM. UNIP ya Kenneth Kaunda ya Zambia isengefutika kama wangefuata ushauri wa CCM. Hata ile dhana kwamba hakunana mkubwa zaidi ya Chama inatekelezwa zaidi kwenye CCM kuliko kwenye vyama vingine
Unazungumzia yaliyopo au yaliyopo?Utumbo wako utakua empty mzee baba katafute kitu cha kula
Anapambana na keyboard sijui kama yuko field??Mzee mpambanaji hachoki, asubiri miaka 5 ijayo iishe mzee amalize miundombinu
Muda wa kuchukua fomu bado upo.@Quinine vipi jamaa kachukua fomu?!