Membe kubebwa na hoja ya Katiba mpya

Membe kubebwa na hoja ya Katiba mpya

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,150
Reaction score
56,463
Iwapo Membe ataamua kugombea urais ndani ya chama chake namshauri atumie hoja ya kuandika katiba mpya au kurejesha mchakato wa katiba ya Warioba au iliyopendekezwa.

Hoja ya katiba mpya bado inavuta hisia za wananchi wengi, leo niliona jinsi rais alivyopata kigugumizi cha ghafula alipotaka kuzungumzia suala la KATIBA, hii inaleta picha kwamba hata rais anataka mchakato uendelee ila kwa sababu anazozijua yeye anashindwa kusema hadharani kwa sababu alishawahi kusema katiba siyo kipaumbele chake.

Nakuhakikishia siku akitangaza vipaumbele vyake na kuahidi kurudisha mchakato wa katiba mpya hakika atapata uungwaji mkono mkubwa kutoka ndani ya chama chake, wapinzani wenyewe, baadhi ya viongozi na wabunge wa CCM.
 
Membe ata ahaidi iyo katiba mpya Sisi watanzania Tupo na JPM. Kenya wanakatiba mpya lakin yaliyotokea baada ya uchaguzi imeonyesha walipoteza muda na fedha na katiba haijawa suluisho katika migogoro yao kama Nchi.
 
Katiba ya CCM si imefanyiwa marekebisho kwamba aliyeko madarakani hashindanishwi kura za maoni so hadi 2025!! Jinsi jamaa mulivyomg'ang'ania kumpamba huyu jamaa yenu likely ndo mgombea kupitia upinzani 2020.
 
Jiwe asije akampoteza Mh Membe
Malipo ya udhalimu ni hapa hapa. Akithubutu kumpoteza mpinzani wake 2020, awe ccm au upinzani, malipo yatakuwa papo kwa papo (immediately)! Hatafanya hilo kosa!
 
Membe ata ahaidi iyo katiba mpya Sisi watanzania Tupo na JPM. Kenya wanakatiba mpya lakin yaliyotokea baada ya uchaguzi imeonyesha walipoteza muda na fedha na katiba haijawa suluisho katika migogoro yao kama Nchi.
Ukweli au uongo, kamwe hauna maficho ya kudumu. Wakati in ukuta na siku zote huuweka ukweli wazi na kuuumbua uongo. Time will tell!
 
mimi naungana na muheshimiwa rais mojakwamoja kuwa kipa umbele cha sasa hivi siyo katiba mpya maendeleo kwanza unafikiri katiba ndiyo italeta maedeleo? hiyo ni siasa tu fikiria mambo yanavyoenda sasa uchumi unakua ajira zinatengenezwa kila mtu akiwa na afueni ya maisha hiyo katiba mpya ya nini provided hiyo iliyopo sasahivi haimuumizi mtu zaidi ya watu kutaka mambo ya kisiasa tu
 
mimi naungana na muheshimiwa rais mojakwamoja kuwa kipa umbele cha sasa hivi siyo katiba mpya maendeleo kwanza unafikiri katiba ndiyo italeta maedeleo? hiyo ni siasa tu fikiria mambo yanavyoenda sasa uchumi unakua ajira zinatengenezwa kila mtu akiwa na afueni ya maisha hiyo katiba mpya ya nini provided hiyo iliyopo sasahivi haimuumizi mtu zaidi ya watu kutaka mambo ya kisiasa tu
Hujui uhusiano wa katiba na maendeleo.
 
Hujui uhusiano wa katiba na maendeleo.
NA sitaki hata kuujua maana hapo ni matumizi mabaya ya pesa za uma tu tena hapo watu wanataka kupiga dili tu hakuna chochote subirini miradi mikubwa iishe ianze kuzalisha uone tunakoelekeakwenye maziwa na asali
 
Iwapo Membe ataamua kugombea urais ndani ya chama chake namshauri atumie hoja ya kuandika katiba mpya au kurejesha mchakato wa katiba ya Warioba au iliyopendekezwa.

Hoja ya katiba mpya bado inavuta hisia za wananchi wengi, leo niliona jinsi rais alivyopata kigugumizi cha ghafula alipotaka kuzungumzia suala la KATIBA, hii inaleta picha kwamba hata rais anataka mchakato uendelee ila kwa sababu anazozijua yeye anashindwa kusema hadharani kwa sababu alishawahi kusema katiba siyo kipaumbele chake.

Nakuhakikishia siku akitangaza vipaumbele vyake na kuahidi kurudisha mchakato wa katiba mpya hakika atapata uungwaji mkono mkubwa kutoka ndani ya chama chake, wapinzani wenyewe, baadhi ya viongozi na wabunge wa CCM.
Huko kwenye chama chake kwenyewe wanatofautiana kuhusu katiba mpya..labda iwe kama kivutio kingine cha watu kupiga hela bungeni baada ya ukata wa muda mrefu
 
Huko kwenye chama chake kwenyewe wanatofautiana kuhusu katiba mpya..labda iwe kama kivutio kingine cha watu kupiga hela bungeni baada ya ukata wa muda mrefu
ndilo wanalotaka sasahivi wapige hela hali mbayaa!!!!??
 
Iwapo Membe ataamua kugombea urais ndani ya chama chake namshauri atumie hoja ya kuandika katiba mpya au kurejesha mchakato wa katiba ya Warioba au iliyopendekezwa.

Hoja ya katiba mpya bado inavuta hisia za wananchi wengi, leo niliona jinsi rais alivyopata kigugumizi cha ghafula alipotaka kuzungumzia suala la KATIBA, hii inaleta picha kwamba hata rais anataka mchakato uendelee ila kwa sababu anazozijua yeye anashindwa kusema hadharani kwa sababu alishawahi kusema katiba siyo kipaumbele chake.

Nakuhakikishia siku akitangaza vipaumbele vyake na kuahidi kurudisha mchakato wa katiba mpya hakika atapata uungwaji mkono mkubwa kutoka ndani ya chama chake, wapinzani wenyewe, baadhi ya viongozi na wabunge wa CCM.
Kisiasa Membe hana dili labda kama mnataka kudili na mizoga.
 
Back
Top Bottom