Membe kasema nini mpaka saa

Eeka Mangi

JF-Expert Member
Jul 27, 2008
3,173
481
Wanajamvi Bernard Membe alikuwa atoe ufafanuzi juu ya meli za Iran kusajiliwa Zanzibar na kupeperusha bendera ya Jamhuri ya Tanzania. Naomba kujuzwa kasema nini mpaka sasa.
 
kwenye ukurasa wake wa twtitter amesema hivi
Bernard Membe

@BernardMembe

Minister for Foreign Affairs and International Cooperation of the United Republic of Tanzania
Dar es Salaam, Tanzania · Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation - Tanzania

Following







Tweet to Bernard Membe












Tweets



Bernard Membe ‏@BernardMembe
Tusimame pamoja kama taifa. Nchi kwanza!

Expand





Bernard Membe ‏@BernardMembe
Hili ni jambo linalogusa maslahi ya Tanzania nje na maslahi ya Tanzania ya ndani (Muungano), tujihadhari na namna tunavyolizungumzia

Expand





Bernard Membe ‏@BernardMembe
Tanzani sio adui wa nchi yoyote duniani. Tunafurahia mahusiano yetu na nchi zote duniani

Expand





Bernard Membe ‏@BernardMembe
Hatufanyi haya kutokana na barua ya congressman, tunafanya hivyo kutimiza wajibu wetu kimataifa hususan Azimio 1920 la UN Security Council

Expand





Bernard Membe ‏@BernardMembe
Tukithibitisha tuhuma hizi tutafutilia mbali usajili wa meli hizo

Expand





Bernard Membe ‏@BernardMembe
Tutakapopata matokeo ya utafiti na ikithibitika kuwepo na ukweli hatua zitachukuliwa mara moja

Expand





Bernard Membe ‏@BernardMembe
Tunafanya hivyo kwa kuwa wakala wa ZMA anayefanya kazi za kusajili amekana kusajili meli za Iran, Balozi wa Iran nchini aliitwa akakanusha

Expand





Bernard Membe ‏@BernardMembe
Tumefanya hivyo kwa kuzingatia uwezo wetu wa kiutafiti na kutaka utafiti huu kuwa huru kwa kuwashirikisha wao wenye ujuzi mkubwa

Expand





Bernard Membe ‏@BernardMembe
Tanzania imewaarifu nchi zilizolalamika marafiki kuwaomba kusaidiana nasi kufanya uchunguzi na kushirikiana kuthibitisha taarifa hii

Expand





Bernard Membe ‏@BernardMembe
Serikali ya Jamhuri ya Muungano na SMZ hazitaki kupuuza taarifa hizi. Serikali zote mbili zimeamua kufanya uchunguzi ili kuthibitisha

Expand





Bernard Membe ‏@BernardMembe
Serikali imepokea taarifa kuhusu tuhuma za meli za Iran kupeperusha bendera za Tanzania ili kukwepa vikwazo

Expand





Bernard Membe ‏@BernardMembe
Press Conference about to start http://pic.twitter.com/p4zh4pjj

View photo





1h Bernard Membe ‏@BernardMembe
Preparing for the Press Conference in an hour to come. Stay tuned!

Expand

 
Maelezo ya Mh. Membe kwenye wall yake ya Facebook

Bernard Kamilius Membe
Serikali imepokea taarifa kuhusu tuhuma za meli za Iran kupeperusha bendera za Tanzania ili kukwepa vikwazo. Serikali ya Jamhuri ya Muungano na SMZ hazitaki kupuuza taarifa hizi. Serikali zote mbili zimeamua kufanya uchunguzi ili kuthibitisha. Tanzania imewaarifu nchi zilizolalamika marafiki kuwaomba kusaidiana nasi kufanya uchunguzi na kushirikiana kuthibitisha taarifa hii. Tumefanya hivyo kwa ku...zingatia uwezo wetu wa kiutafiti na kutaka utafiti huu kuwa huru kwa kuwashirikisha wao wenye ujuzi mkubwa. Tunafanya hivyo kwa kuwa wakala wa ZMA anayefanya kazi za kusajili amekana kusajili meli za Iran, Balozi wa Iran nchini aliitwa akakanusha. Tutakapopata matokeo ya utafiti na ikithibitika kuwepo na ukweli hatua zitachukuliwa mara moja. Tukithibitisha tuhuma hizi tutafutilia mbali usajili wa meli hizo. Tunafanya hivyo kutimiza wajibu wetu kimataifa hususan Azimio 1920 la UN Security Council.Tanzani sio adui wa nchi yoyote duniani. Tunafurahia mahusiano yetu na nchi zote duniani. Hili ni jambo linalogusa maslahi ya Tanzania nje na maslahi ya Tanzania ya ndani (Muungano), tujihadhari na namna tunavyolizungumzia. Tusimame pamoja kama taifa. Nchi kwanza!
 
membe bwana afutilie mbali kwani suala hili ni la muungano..meli zimesajiliwa znz yeye anawashwa nini?
 
I see hii kitu ni very siriaz.....Serikali ya Jamhuri ya Muungano na SMZ hazitaki kupuuza taarifa hizi. Serikali zote mbili zimeamua kufanya uchunguzi ili kuthibitisha"

The Manamenikumbushia ishu ya OIC...!!! miaka ileee
 
yaani hii ndio inaonyesha tukivunja muungano leo kuna nchi za kiarabu zitapigana kugombania kisiwa cha zanzibar..
 
Back
Top Bottom