King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,824
- 68,992
Kama hizo mali hazitatosha kufidia deni kamata Musiba chomoa figo uza
Sheria inasema kama deni hajamaliza baada ya kuuza mali inatakiwa afungwe kwa gharama za Membe mpaka atakapomaliza deni.
Namsisitiza Membe baada ya kuuza mali zake amfunge mpaka ndugu zake wamalize deni ,hii itakuwa fundisho kwa waandishi wachumia Tumbo.