Kamisaa
Member
- Jun 18, 2011
- 90
- 16
Kwahiyo mmekubali mnajaribu kimchavua MEMBE kupitia gazeti lenu la MTANZANIA kisa kujistukia kwamba, au kwa hisia zakinyume na maumbile umlizonazo ,eti yeye MEMBE anawachafua kupitia RAIA MWEMA? Je kama yeye MEMBE ausiki na vijishutma vyenu thidi yake kipitia RAIA MWEMA, umtajikaza kiume angalau sekunde kazaa na kumtaka radhi,na we JUHA tu kwamba unajidhalilisha bure
Duh, I smell desperation here! You have completely lost it! Mimi naangalia pande zote za mraba. Watu hapa mmelalamika kwamba Membe anachafuliwa na MTANZANIA - hayo hayakuwa maneno yangu. Lakini ukiuliza mbona inajulikana kwamba na yeye Membe anachafua wenzake, unachopata ni matusi na kejeli. Logical conclusion is that Membe's hands are dirty.