frankly speaking,mleta mada huwa anawazaga mambo ambayo hayapo,basi tu ilucinations zako na poilitics za nyumbani;nimeona sana kwenye post zako nyingi.
Niseme tu,mimi sio fan wa Membe ila nathani kama mwanachama na raia yoyote watanzania anayo haki kuhoji baathi ya mambo sababbu anao uzoefu kwa miaka mingi.
Mimi nathani sidhani kama ni chuki juu ya Magufuli na serikali yake,ndio maana wanaita siasa.Siasa sio ngumi,kuchukiana,bali kupingana kwa hoja.
Zama za kale sio sawa na zama za muda huu.Kolimba kwaa taarifa yako,hakuuwawa na mkapa bali chama.Inasemekana alikuwa mbioni kutoa siri za chama na kuanzisha chama chake na kuchukua baathi ya watu ndani ya chama.Basically,kuua chama cha mapinduzi but who knows.Haya ni ya kusikia tu.
Hivyo,sioni ajabu sana Membe kusema lolote juu ya serikali ya Magufuli.Tusitake kukuuza maneno na mambo ambayo hayamo na kuleta uchochezi kwa mambo madogo sana kwenye jamiii.
Mkuu,wewe ni mtu ambaye nakuona uko so negative sijawahi kuona uko optimistic na kitu chochote.I wish to meet you in person to prove me.Stay positive brother kaka.