chipaka.com
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,883
- 1,195
Rais wa mfukoni
Ukachero mzuri ni pale unapokuwa ndani ya kachero kama chombo. Unapotoka nje ya msimamo wa kachero chombo (siyo kachero mtu) unakuwa huna nguvu ni kama mamba akiwa nje ya maji. Kama Membe angeyazungumza haya ndani ya kachero chombo angeheshimika zaidi kuliko kuzungumza kama kachero mtu. Ni vigumu kumpambanua kama anasema kama mwenye Taaluma ya ukachero au ni hasira za kushindwa uchaguzi na kutufanya Watanzania tujutie kuacha kumchagu yeye tukamchagua MagufuliMembe ni kachero wa "zamani". Kuna mambo amenusa kimya kimya. Inawezekana anazungumza kwa niaba ya "wenzake" hasa Wanasiasa na Wafanyabiashara.
Ila pia kuna mambo amezungumza ni ya msingi kabisa. Kama ukubwa wa Serikali.
Kingine nafikiri ni namna ya ku~neutralize nguvu za Magufuli dhidi ya Chama. Hili itakuwa kuna wengine wazito nyuma yake. Kumfanya Jpm ni mdogo a~align na chama effectively.
Tutaona hayo kwenye vikao vijavyo vya Chama. Hayo ni maandalizi tu.
Tutaona
Hao wanaBWEKA tu....kitu amefanikiwa mpaka sasa kwa % kubwa Magufuli ameWIN wananchi wengiLumumba baada yakutulia ndo kwanza gonjwa limeanza symptoms nyingine!!Magufuli awe tayari kuvunjwa moyo na kusalitiwa na watu asiowategemea upepo mkali sana utapita tena wa watu wanaoijua serikali vizuri na vyombo vya dola vyake na wana influence kubwa ndani na nje ya Tanzania
For me namuona Magufuli ni kama Rais wa miaka mi 5 tu!!
🙂🙂🙂🙂🙂🙂Baada ya kusoma na kutafakari kwa kina maneno ya Membe nikagundua kuwa ,'Sauti ni ya Yakobo ila mwili ni wa Essau'.
Duh! kumbe mikakati ya "kumkolimba Raisi wetu mpendwa Magufuli" mikakati ilianza miezi minne tu baada ya kuchukua office. Maswali niliyokuwa nikijiuliza baada ya kifo cha Magufuli:Kwa wanaojua historia ya ccm watajua anayeongea sio Membe ni kundi la watu wakubwa ndani ya ccm kama yeye alivyo mkubwa hawezi tumwa na wadogo. Anayoyajua membe magufuli hayajui yako mengi nyuma ya pazia sasa kama yako mengi nyuma ya pasia ayajuayo membe bila magufuli kujua nini maana yake? hapo ndo tuna conclude uasi mkubwa umepangwa na wana ccm kwa serikali ya magufuli. Shame on you ccm. CCM ni chama kisichopenda kabisa maendeleo ya Tanzania yaani wanatamani wananchi wote wangekuwa mazezeta ili wawaongoze bila kupata criticism. Sasa bahati tumepata Magufuli angalau kidogo yuko tofauti tayari washaanza kumfanyia hujuma hata miezi 4 haijafika