Membe Aitwa "Rais" Bungeni

hana lolote huyu membe, bajeti yake ni kusafiri coz akijisikia kwenda kujisaidia marekani anaenda.

anahalalisha kwamba tz in idadi ndogo sana ya msafara kwani ni watu 50 tu ukilinganisha na usa
 
Hahahah siyo nacheka kwa Futaha basi nihuzuni sana hivi kweli B200 hatuzioni Maisha bora kwa kila Mtazania hayapo alafu unaleta hoja kama hiyo pole
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom