Ni kweli alikuwa amekosea na hakumuita Membe kama Rais bali alisema hotuba ya Rais badala ya Hotuba ya Waziri
nakutumia skype yangu fasta unitupie hizo
Akichangia hotuba ya bajeti, Mbunge Mtutura amejikuta akimuita Waziri Membe "Rais" huku akiwa anampamba kwa misifa kedekede.
Hata hivyo alikiri kukosea lakn akasema anamuombea dua.
my take:
Huyu hakukosea alikua anatuma ujumbe................
huenda siasa za nchi hii hajazijua anajiaminisha tu
Hizi hapa kwa faida ya Watanganyika wote:
1. Akiahidi hatekelezi
2. Akiaminiwa hufanya hiyana
3. Husema asichokiamini
Ngoja nimsaidie japo kwa kifupi sana kwamba siasa za nchi yetu ni kama mchezo wa soka, yaani mwamuzi ni dakika tisini.
Swadaktaaaa! Membe ni mnafiquun mkubwa!
tena si tu dk 90 kama umeona ya Malawi, nakukumbusha pia mechi ya Juzi ya Atletico kwamba ni filimbi ya mwisho
Ni kweli alikuwa amekosea na hakumuita Membe kama Rais bali alisema hotuba ya Rais badala ya Hotuba ya Waziri
Mkuu unajitoa ufahamu?
Member will never be the President of this great Nation,Mark my words bro!