Membe Aitwa "Rais" Bungeni

Membe Aitwa "Rais" Bungeni

wewe ndio unawaamulia watanzania? ambao previously umewadescribe hivi ''There are so many ignorant and uninformed Tanzanians who will actually vote for him!!?? ''

Afanalek! Hii nchi ngumu sana basi tu sijui tufanyeje?
 
urais wa nini au wa mtwara kwa maana rais wa arumeru nasharki tayar ni nassari sa mbeya kijukuu cha mtume sugu.......! ndoto za mchana noumaaa akiamka posho laki tatu anasaini
 
urais wa nini au wa mtwara kwa maana rais wa arumeru nasharki tayar ni nassari sa mbeya kijukuu cha mtume sugu.......! ndoto za mchana noumaaa akiamka posho laki tatu anasaini

Nakwambia hii nchi ina vituko.
 
Watu wakusini wameungna bana mtutula na mbunge kutoka kusini so he was showing sumluv kwake najaua tuuu
 
Watu wakusini wameungana bana mtutula na mbunge kutoka kusini so he was showing sumluv kwake najua tuuu
 
Mbunge Rajab amemwambia hatoi shilingi kwa kuwa Mh Membe ana malengo mazuri 2015
 
naona leo ilikua siku ya kumpigia upatu Membe maana Mh Rajab hakukosea yeye
 
Ni kweli alikuwa amekosea na hakumuita Membe kama Rais bali alisema hotuba ya Rais badala ya Hotuba ya Waziri

Sasa waziri aliyetoa hotuba ni nani kama siyo Membe? Unatumia mku..... kufikria!
 
Hata tatu bora kwenye kura za maoni ndani ya ccm haiingii atakuwa kaamua kuchezea kamari hela yake kwenye mchakato
 
Hana lolote huyu membe, bajeti yake ni kusafiri coz akijisikia kwenda kujisaidia Marekani anaenda.
 
Membe ana alama kuu tatu za mnafiki.
Mkuu skype tuwekee hapa tuzijue tusije kosea,maana miaka kumi ndiyo hiyo ishaenda kusubuli tena a whole decade tutachelewa sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom