POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
Mods wanakuavha tuwadau!
Sasa nimeamini wale waliosema simba akizidiwa hula majani hawakukosea,
habar za chini chini zinasema wazir wa mambo ya nje benard membe amekuwa anahangaika usik kucha kuhakikisha anakuwa mmoja ya watu wa kambi ya lowassa,habar za ndn zinasema amekuwa akifny jitihad kila kukicha kutaka kuonna na lowassa lakin mh lowassa amekuwa akimkwepa,baada ya kuona jitihada zake kugonga mwamba za kumuona lowassa ameamuwa kuwatumia wafuas wa lowassa ili wamshawishi lowassa akubali membe kuungana na kambi yake,sasa tujiulize ndio kwaamba membe ameona kibano kimezidi au lengo ni kwaajili ya kuivuruga kmbi ya mh lowassa?kaz ipo
, ila umeandika kama upo facebook vile na si great threak kwa hivyo vi - abbreviations vyako.
Poke ukikuwa utaacha