Mema Tanzania
Member
- Feb 23, 2020
- 66
- 65
Mema Tanzania Jumamosi ya tarehe 17 Aprili, 2020 tulizindua jarida la Mema Magazine toleo la kwanza linalofahamika #Tumesomeka likiwa katika programu maalumu ijulikanayo kama Sauti Huru. Jarida hili limesheheni maudhui yanayohusu masuala yafuatayo;-
Jarida hili sasa linapatikana kwa njia ya mtandao kupitia mema-magazine-edition-1-tumesomeka na nakala ngumu.
Usiache kumshirikisha mshikaji wako wa karibu pindi unaposoma jarida hili. Usisite kutupatia maoni yako inapobidi.
-
#Tumesomeka #SautiHuru #UnleashYouthVoiceEd1
Tufuate kupitia Facebook, Twitter, Instagram, Medium | Mema Tanzania na Mema Magazine.
Afya na usawa na kijinsia
Uraia na uwajibikaji
Michezo na sanaa
Ajira na ujasiriamali
Jarida hili sasa linapatikana kwa njia ya mtandao kupitia mema-magazine-edition-1-tumesomeka na nakala ngumu.
Usiache kumshirikisha mshikaji wako wa karibu pindi unaposoma jarida hili. Usisite kutupatia maoni yako inapobidi.
-
#Tumesomeka #SautiHuru #UnleashYouthVoiceEd1
Tufuate kupitia Facebook, Twitter, Instagram, Medium | Mema Tanzania na Mema Magazine.