Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,504
Victor wa happy mrusi hajapitisha meli pale kiuchokozi,ndio njia yake hiyo hamna njia yeyote kutoka kule juu kupita ili ufike syria,au unataka tukuwekee ramani?,
walichofanya wa magharibi ni kulikuza jambo makusudi ili ionekane mrusi kafanya uchokozi.
Lengo la marekani na wenzake ni kuprolong vita wakati russia anajaribu kuimaliza
walichofanya wa magharibi ni kulikuza jambo makusudi ili ionekane mrusi kafanya uchokozi.
Lengo la marekani na wenzake ni kuprolong vita wakati russia anajaribu kuimaliza