Meli za kivita za Urusi 'kukwepa' Uhispania

Meli za kivita za Urusi 'kukwepa' Uhispania

Victor wa happy mrusi hajapitisha meli pale kiuchokozi,ndio njia yake hiyo hamna njia yeyote kutoka kule juu kupita ili ufike syria,au unataka tukuwekee ramani?,
walichofanya wa magharibi ni kulikuza jambo makusudi ili ionekane mrusi kafanya uchokozi.

Lengo la marekani na wenzake ni kuprolong vita wakati russia anajaribu kuimaliza
 
hivi hao ISIS ndo wengi kiasi hicho inaonekana kama Mrusi anapigana na mataifa flani pale Syria apart of ISIS.

Zaidi ya Mafuta pale Syria nini kingine muhimu sana Mrusi anabenefit maana naona kama hii vita imekua over extendend

Au ndo hilo soko la silaha?

Wenyekujua zaidi kuhusu hii vita watujuze?

na hakuna agreement yaweza patikana zaidi ya vita?
Mkuu hao ISIS wanaonekana ni wagumu sababu

1. Wamepewa mafunzo ya hali ya juu na US.
2. Wana silaha za kisasa, kwahiyo wanaendana na wakati.
3. Wana Pesa.

Ila mwisho wao unakaribia na hapo RUSSIA hawezi akakubali kushindwa, ni mabomba ya mafuta kutoka Urusi ndo yanalindwa hapo, Russia akipoteza hapo kwa asilimia kubwa lazima uchumi wake uyumbe.
 
Tatizo lake anajaribu kun pre empty ili yeye awepo kwenye kundi linalojua

Eti anasema sijui kitu, watu wengine huitaj kuumiza akili unawaacha tu watapike

Sasa wewe unayejua mbona huandiki ujuacho???kazi kuwapuuza wenzio tu bhana Kalashnikov? ??
 
hivi hao ISIS ndo wengi kiasi hicho inaonekana kama Mrusi anapigana na mataifa flani pale Syria apart of ISIS.

Zaidi ya Mafuta pale Syria nini kingine muhimu sana Mrusi anabenefit maana naona kama hii vita imekua over extendend

Au ndo hilo soko la silaha?

Wenyekujua zaidi kuhusu hii vita watujuze?

na hakuna agreement yaweza patikana zaidi ya vita?
Sio ISIS tu Kuna lundo la marcineries kutoka nchi Mbali Mbali..... Pia Kuna military instructors, special services and commandos wa kutosha.... Hii ni hatari zaidi. Sio vita ndogo kabisa.

Source ya vita ni moja. Bomba la cruide gas toka Qatar kwenda Ulaya magharibi kupitia Syria. Syria amekataa kwani kwa kufanya hivyo ataua uchumi wa Urusi ambae ni mshirika wake mkubwa Sana. Hapo ndio chanzo kikuu cha proxy war....
 
Mhhhhh mkuu mi nimewaachia nyie mnaojua mtiririke
Ajabu hamna hata mmoja aliyelieleza hili jambo kiufasaha mnaishia kutukana tu

Mi nasoma tu sichangii kitu humu,

I know nothing about russia and europe saga

Victor wa happy mrusi hajapitisha meli pale kiuchokozi,ndio njia yake hiyo hamna njia yeyote kutoka kule juu kupita ili ufike syria,au unataka tukuwekee ramani?,
walichofanya wa magharibi ni kulikuza jambo makusudi ili ionekane mrusi kafanya uchokozi.

Lengo la marekani na wenzake ni kuprolong vita wakati russia anajaribu kuimaliza
 
Sio ISIS tu Kuna lundo la marcineries kutoka nchi Mbali Mbali..... Pia Kuna military instructors, special services and commandos wa kutosha.... Hii ni hatari zaidi. Sio vita ndogo kabisa.

Source ya vita ni moja. Bomba la cruide gas toka Qatar kwenda Ulaya magharibi kupitia Syria. Syria amekataa kwani kwa kufanya hivyo ataua uchumi wa Urusi ambae ni mshirika wake mkubwa Sana. Hapo ndio chanzo kikuu cha proxy war....
Ni kweli Mkuu ila hawa kwa Mrusi pale Allepo hawachomoki, ndio maana hata Misaada Mrusi hataki ikipita pale sababu itakuwa imebeba Silaha.
 
Putin angeachana na siasa za kitoto sasa
Walioshambulia irak na libya nao walikua na siasa za kitoto?
Mbona hilo wakati linatokea mlikua kimya?,au hao raia wa irak na libya walikua na hatia?,acha koleo liitwe koleo,sio kijiko kikubwa!
 
Putin ana siasa za kitoto, huwezi kuelewa ninachosema

Nchi kubwa kama russia haitakiwi kufanya anayofanya sasa

Nakupa mfano mdogo tu, fatilia meli ya kivita ya usa iliposhambuliwa na iran, usa alisovu vip tatizo lake ufananishe na hao russia

Urusi anafanya propaganda za kitoto tu

Juzi apa meli yake ya kivita imepita kwenye maji ya uingereza bila sababu yeyote

Labda km unafatilia nusu nusu
Hebu weka facts straight mkuu. Manowari za Urusi hazikupita kwenye maji ya Uingereza, zimepita kwenye maji ya kimataifa ila karibu na eneo la maji yanayomilikiwa na Uingereza. Na ni sababu hiyo ndiyo njia yake, sasa ukisema amepita makusudi au kiuchokozi tunashindwa kukuelewa. Wenzetu wamepiga hatua kiteknolojia kiasi kwamba hata ingekuwa manowari zile zimeingia kwenye maji ya Uingereza kwa mita 100 tu basi wangejua na ingekuwa sababu ya kuzisimamisha. Na zaidi, kwa kutumia simple logic, unahisi kipi kingekuwa na mashiko zaidi kwa NATO kati ya kuzuia meli za Urusi iwapo zingeingia katika maji ya Uingereza au kuzizuia kupitia Spain?

Pitia link hii hapa chini kwa habari juu ya hizo manowari kupita karibu na mkondo wa maji wa Uingereza (The English Channel)

Russia sends warships toward Syria via the English Channel — and with them, a message
 
Point of correction[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]

Hebu weka facts straight mkuu. Manowari za Urusi hazikupita kwenye maji ya Uingereza, zimepita kwenye maji ya kimataifa ila karibu na eneo la maji yanayomilikiwa na Uingereza. Na ni sababu hiyo ndiyo njia yake, sasa ukisema amepita makusudi au kiuchokozi tunashindwa kukuelewa. Wenzetu wamepiga hatua kiteknolojia kiasi kwamba hata ingekuwa manowari zile zimeingia kwenye maji ya Uingereza kwa mita 100 tu basi wangejua na ingekuwa sababu ya kuzisimamisha. Na zaidi, kwa kutumia simple logic, unahisi kipi kingekuwa na mashiko zaidi kwa NATO kati ya kuzuia meli za Urusi iwapo zingeingia katika maji ya Uingereza au kuzizuia kupitia Spain?

Pitia link hii hapa chini kwa habari juu ya hizo manowari kupita karibu na mkondo wa maji wa Uingereza (The English Channel)

Russia sends warships toward Syria via the English Channel — and with them, a message


Jipe moyo
 
mrusi yupo kama zombie anakuja kimya kimya mmarekani kelele nyingi
 
Victor wa happy mrusi hajapitisha meli pale kiuchokozi,ndio njia yake hiyo hamna njia yeyote kutoka kule juu kupita ili ufike syria,au unataka tukuwekee ramani?,
walichofanya wa magharibi ni kulikuza jambo makusudi ili ionekane mrusi kafanya uchokozi.

Lengo la marekani na wenzake ni kuprolong vita wakati russia anajaribu kuimaliza
Mhurumieni tu huyo jamaa, akikua atayaona.
 
Back
Top Bottom