MELI YA UJASUSI YA URUSI YAZAMA UTURUKI

MELI YA UJASUSI YA URUSI YAZAMA UTURUKI

Unataka tukuamini kwamba wewe ni muelewa sana katika mambo ya usafiri wa majini kuzidi askari wa majini wa Russia?
Watanzania kila kitu wanajua tena watakwambia askari wa Russia sio weledi.
kuna mambo mengine haiitaji hadi uende chuo kikuu ndio uelewe.
 
f95e14bb0972dd2e88d9dd99b7f8b21b.jpg


huu ni uzembe ulio pitiliza kwa jeshi la urusi. kama meli tu ya ujasusi. imegonga meli nyingine ya mizigo na kuzama na je vikitokea vita na marekani itakuwaje.
na mmarekani yeye akilianzisha amelianza hakuna kulala.

kwahiyo nawashauri wale wote mnao mbeza mrusi kwamba anaweza kumpiga mmarekani mfute kauli mara moja msije mkaja mkaaibika.
pale mtakapo kuja kushuhudia mrusi anakuja kupigwa kama mtoto mdogo pamoja na tumakombora twake.

Mkuu naona wewe umeleta taarifa nusu nusu ukiwa na lengo maalumu - kwanza meli hiyo iligongwa ubavuni katika mazingira yapi? Eye witness wanasema hali ya hewa ilikuwa mbaya kutokana na kutanda kwa ukungu mkubwa sehemu hiyo, sasa kama visibility was almost 0% unashangaa nini meli kugongana kwenye a narrow passage? Hata kwa macho hiyo inaonekana ni meli ya kawaida iliyo kuwa retrofitted na vifaa vya kijasusi/upepelezi she is not a battleship or aircraft carrier wala meli type hizo azibebi silaha za aina yoyote - sasa tatizo liko wapi?
 
sawa pale mmarekani walikuwa kwenye operesheni kali na ukizingatia walikuwa kwenye nchi ya watu.

sasa urusi meli ya ujajusi inaenda kugonga meli ya mizigo baharini ambapo ni kweupe na hakuna mtu ambaye alikuwa anafukuzana naye.
huo ni uzembe ulio pitiliza.

Watanzania kwa uzushi!! Nani alikwambia kwamba visibility ilikuwa 100% au unaposema sehemu ilipo tokea accident palikuwa peupe una maanisha nini?? Majibu kama ya kwako hayanishangazi hata kidogo, najua wanaosema haya si ajabu katika maisha yao hawajawahi kutoka nje ya Tanzania, watu kama hao si rahisi ku-distinguish baina ya MIST and FOG hilo ndilo tatizo.

Mashuhuda wa accident wanasema ajali ilitokana na hali mbaya ya hewa, hali hiyo ndiyo ilisababisha Bosphorus Strait kutanda FOG hivyo kufanya visibility iwe nil/hakuna, sasa kwa mtu ambaye amewahi kushudia hatari za FOG zinavyo sababisha ajali mbaya sana za barabarani na majini kwa Mataifa ya wenzetu - mtu kama huyo awezi kushangaa tukio la Meli kugongana.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
sawa pale mmarekani walikuwa kwenye operesheni kali na ukizingatia walikuwa kwenye nchi ya watu.

sasa urusi meli ya ujajusi inaenda kugonga meli ya mizigo baharini ambapo ni kweupe na hakuna mtu ambaye alikuwa anafukuzana naye.
huo ni uzembe ulio pitiliza.
Week iliyopita tu ndege ya kivita ya marekani ilidondoka lakini wala habari haikusambaa kiivyo
 
Mkuu naona wewe umeleta taarifa nusu nusu ukiwa na lengo maalumu - kwanza meli hiyo iligongwa ubavuni katika mazingira yapi? Eye witness wanasema hali ya hewa ilikuwa mbaya kutokana na kutanda kwa ukungu mkubwa sehemu hiyo, sasa kama visibility was almost 0% unashangaa nini meli kugongana kwenye a narrow passage? Hata kwa macho hiyo inaonekana ni meli ya kawaida iliyo kuwa retrofitted na vifaa vya kijasusi/upepelezi she is not a battleship or aircraft carrier wala meli type hizo azibebi silaha za aina yoyote - sasa tatizo liko wapi?
Mbona mapovu mengi ivo Utadhani iyo meli ya babu yako.
 
f95e14bb0972dd2e88d9dd99b7f8b21b.jpg


huu ni uzembe ulio pitiliza kwa jeshi la urusi. kama meli tu ya ujasusi. imegonga meli nyingine ya mizigo na kuzama na je vikitokea vita na marekani itakuwaje.
na mmarekani yeye akilianzisha amelianza hakuna kulala.

kwahiyo nawashauri wale wote mnao mbeza mrusi kwamba anaweza kumpiga mmarekani mfute kauli mara moja msije mkaja mkaaibika.
pale mtakapo kuja kushuhudia mrusi anakuja kupigwa kama mtoto mdogo pamoja na tumakombora twake.

Wewe ni Li.pumb.Vu kabisa, kipi cha kufarahisha hapa! Vita?
 
f95e14bb0972dd2e88d9dd99b7f8b21b.jpg


huu ni uzembe ulio pitiliza kwa jeshi la urusi. kama meli tu ya ujasusi. imegonga meli nyingine ya mizigo na kuzama na je vikitokea vita na marekani itakuwaje.
na mmarekani yeye akilianzisha amelianza hakuna kulala.

kwahiyo nawashauri wale wote mnao mbeza mrusi kwamba anaweza kumpiga mmarekani mfute kauli mara moja msije mkaja mkaaibika.
pale mtakapo kuja kushuhudia mrusi anakuja kupigwa kama mtoto mdogo pamoja na tumakombora twake.

hivi kweli mtanzania amefikia hatua ya kuhoji uimara na weledi wa nchi kama Russia? hebu tulizeni akili watanzania mengine yako nje ya uwezo wenu.

 
distinguish

Watanzania kwa uzushi!! Nani alikwambia kwamba visibility ilikuwa 100% au unaposema sehemu ilipo tokea accident palikuwa peupe una maanisha nini?? Majibu kama ya kwako hayanishangazi hata kidogo, najua wanaosema haya si ajabu katika maisha yao hawajawahi kutoka nje ya Tanzania, watu kama hao si rahisi ku-distinguish baina ya MIST and FOG hilo ndilo tatizo.

Mashuhuda wa accident wanasema ajali ilitokana na hali mbaya ya hewa, hali hiyo ndiyo ilisababisha Bosphorus Strait kutanda FOG hivyo kufanya visibility iwe nil/hakuna, sasa kwa mtu ambaye amewahi kushudia hatari za FOG zinavyo sababisha ajali mbaya sana za barabarani na majini kwa Mataifa ya wenzetu - mtu kama huyo awezi kushangaa tukio la Meli kugongana.
hapo ndio ilibidi uonekane umuhimu na umahili wa rada zao. walizo kuwa wanazisifia kwamba zinaweza kufika sehemu yoyote duniani.
 
Accidents are unforeseen circumstances.
Kama ilivyo KIFO hujui UTAKUFA saa ngapi vivyo hivyo kwa AJALI hujui ni mda gani utapata AJALI.
 
Accidents are unforeseen circumstances.
Kama ilivyo KIFO hujui UTAKUFA saa ngapi vivyo hivyo kwa AJALI hujui ni mda gani utapata AJALI.
lakini hiyo ni ajali iliyo sababishwa na uzembe majini.
 
Umeandika kijinga na kiushabiki sana! Tukio la ajali unalihusishaje na uwezo wa kijeshi? Unajua ni ajali ngapi zimetokea kwa vyombo vya kijeshi vya marekani? Unafahamu kwamba wakati askari mahili wa kimarekani wenye ujuzi wa hali ya juu walipotumwa kwenda kumvamia Osama helicopter yao moja ilipata ajali? Hapo wamevamia Nyumba ya mtu....vipi wakiwa wanapambana na Mrusi? Je tuwabeze kwa kuhitimisha kuwa marekani atapigwa na Mrusi?
Acha uvivu katika kutumia akili hata kwa mambo madogo kiasi hiki!
We hukuona mziki walio mchezeshea Osama japo helicopter ilizingua
 
Kwa hiyo unavyo ng'ang'ana kusema ni uzembe utafikiri ulikua miongoni mwa mabaharia wa hizo meli ndio point!?!?
Acha ubazazi dogo.
mbona watu wengine mkiwa fj mnajidai sana. ww unaniita mm dogo wakati ninekuzidi miaka miwili. dogo acha dharau na usijue kila mtu mwenyewe yupo jf ni dogo.

na ninakushauri kabla haujamuita mtu yoyote dogo soma kwanza age yake.
 
mbona watu wengine mkiwa fj mnajidai sana. ww unaniita mm dogo wakati ninekuzidi miaka miwili. dogo acha dharau na usijue kila mtu mwenyewe yupo jf ni dogo.

na ninakushauri kabla haujamuita mtu yoyote dogo soma kwanza age yake.
Madogo kama wewe ni wa kupuuza tu...
Hebu rudisha tecno ya mama ulale ukue.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom