as navy artecture nasema haiwezekani meli yenye urefu wa 46mt upana 8mt dempth 7.5 mt inaweza kuwa na uzito wa ton 290 na inapakia ton 560 aidha balance tank zake zinafkia lt 60000 sawa na 57 ton so ukijumlisha zote pamoja na mafuta ni kama 1000ton sasa katika akili ya kawaida nini kitafanya ton 1000 ielee wakati ndani haina hewa?