Hii ni tofauti na ile iliyoleta magari 600 ambayo kwa sasa yanasafirisha Cement?Meli kubwa yenye uwezo wa kubeba magari 600 mali ya Dangote imewasili Manispaa ya Mtwara, Imeelezwa Meli hiyo imeweza kutia nanga bandarini hapo mara baada ya Serikali ya awamu ya 5 kuifanyia marekebisho Bandari hiyo na kuongeza ufanisi zaidi.