Madhara ya kuishi sebuleni kwa shemeji yako miguu sofani, macho kideoni na JF kwenye simu ama Tablet.Yah nilitaka kujiuliza hii meli nilikutana nayo wapi!
Siku moja imenipita Sekenke ikiwa na shehena ya mizigo.
Meli kubwa yenye uwezo wa kubeba magari 600 mali ya Dangote imewasili Manispaa ya Mtwara, Imeelezwa Meli hiyo imeweza kutia nanga bandarini hapo mara baada ya Serikali ya awamu ya 5 kuifanyia marekebisho Bandari hiyo na kuongeza ufanisi zaidi.
Yah nilitaka kujiuliza hii meli nilikutana nayo wapi!
Siku moja imenipita Sekenke ikiwa na shehena ya mizigo.
Haha eti hazina kwahiyo dogo anaserereka mjini sababu ya papuchi ya dada yake?Madhara ya kuishi sebuleni kwa shemeji yako miguu sofani, macho kideoni na JF kwenye simu ama Tablet.
Na madikodiko kwenye frij ukibugia heavy meals. Ni hazina kubwa sana ukiwa na dada huoni anavyokukingia kifua? Shemeji yako tu kawafukuza ndugu zake wa damu
Noma sana!Madhara ya kuishi sebuleni kwa shemeji yako miguu sofani, macho kideoni na JF kwenye simu ama Tablet.
Na madikodiko kwenye frij ukibugia heavy meals. Ni hazina kubwa sana ukiwa na dada huoni anavyokukingia kifua? Shemeji yako tu kawafukuza ndugu zake wa damu
Nafikiri we ubongo wako umejaa topeMajizi chadema wakipewa hii nchi wanaiuza kwa wazungu .
Kila wakati wanajipendekeza kwa wazungu kama mazuzu na washamba fulani wasiojua historia ya wazungu kwenye nchi hii.
Wazungu wanachangia asilimia 40 ya bajeti yenu! Kiasi cha fedha kinachotolewa na serikali kwenda kwenye miradi ya maendeleo ni asilimia 40 tu ya mahitaji!! Kwa hiyo ni kweli ukisema kuwa wazungu wanachangia bajeti yenu kwa 100%!! Hiyo ndiyo historia ninayoijua ya wazunguMajizi chadema wakipewa hii nchi wanaiuza kwa wazungu .
Kila wakati wanajipendekeza kwa wazungu kama mazuzu na washamba fulani wasiojua historia ya wazungu kwenye nchi hii.
Inakuuma mimi kukaa kwa shemeji yangu!Madhara ya kuishi sebuleni kwa shemeji yako miguu sofani, macho kideoni na JF kwenye simu ama Tablet.
Na madikodiko kwenye frij ukibugia heavy meals. Ni hazina kubwa sana ukiwa na dada huoni anavyokukingia kifua? Shemeji yako tu kawafukuza ndugu zake wa damu
Kwan hamuwez kufanya kitu bila ya kusema hii ni Serikali ya awamu ya Ngapi.....? Ni nan kati yetu asiyejua hii ni awamu ya ngapi....? Shame on you..🙄🙄Meli kubwa yenye uwezo wa kubeba magari 600 mali ya Dangote imewasili Manispaa ya Mtwara, Imeelezwa Meli hiyo imeweza kutia nanga bandarini hapo mara baada ya Serikali ya awamu ya 5 kuifanyia marekebisho Bandari hiyo na kuongeza ufanisi zaidi.