thread critic
Member
- Jul 17, 2012
- 71
- 14
Jamani kuna taarifa zimezagaa mitaani kuwa serikali ilinunua ile meli iliyoua watu wikiliyopita toka kwenye mnada wa internet wa e-bay
je kuna ukweli kwenye hili au nimechanganya mambo?
je kuna ukweli kwenye hili au nimechanganya mambo?