Mei mosi mpaka leo mimba inaweza kuwa tiari kujifungua?

donga

JF-Expert Member
Sep 13, 2017
2,475
4,927
Wakubwa shikamoo mm ni kijana nimezaliwa 2001... lakini nilikutana na binti chuo cha ualimu morogoro...pale kigurunyembe...mwezi wa tano tarehee moja...tulikutana na mwanachuo mwezangu wa ualimu .....katika chuo flan mkoa mwingine .....walikuja kwenye mafunzo ya vitendo

Kama kawaida baada ya masaa ya kazi tulitoka out kwa bahati mbaya tukajikuta tumeshiriki tendo takatifu la ndoa

Sasa juzi baada ya wiki akaniambia mjamzito .....nilipata mashaka kidogo...nilipomuuliza mbna mapema akasema alichanganya siku


Sasa juzi ananipigia simu akiwa mkoani kwao singida kwa wanyaturu siku ya sherehe xmass kajifungua mtoto wa kiume
Nilishtuka sanaaa ila nikapiga moyo konde


Jana tena ananipigia akinilazimisha nimpeleke home wakamwone mtoto wetu....ikiwezekana nimtambulishe kabisa home


Nilipomwomba anitumie picha mtoto katoka mweupe ila mm mweusi nilipomuuliza akasema kafuata kwa mama


Ila maswali yangu najiuliza?

MBONA NIKIHESABU NI MIEZI SABA TOKA SEX MPAKA KUJIFUNGUA ILA PICHA YA MTOTO HAONEKANI KM NI NJITI


Namashaka na kulea mtoto sio wang

Pili sijajipanga kuingia kwenye ndoa

Naombeni ushauri jamani
 
Kama mara ya mwisho kupata siku zake ilikua ni mei mosi, maana yake leo ni week ya 34 na siku 3 endapo amepata ujauzito. Na tarehe yake ya matazamio kujifungua ni tarehe 8 February 2023.

Akijifungua leo ni wazi mtoto atatoka premature. Na atahitaji kuwekwa chumba maalumu cha joto (neonatal ICU) kwa ajili ya matibabu mpaka atimize kilo sahihi (2.5kg na kuendelea)

Kumbuka mwanamke anaweza kujifungua wiki mbili kabla au baada ya tarehe ya matazamio.
 
Akuna mimba yako apo bhna mm demu nmesex nae mwez wa 4 mwanzoni na atajifungua mwez wa kwanza huyo kakubambkizia tu
 
P2 hapana
Watumie kondom
Wakiwashwa watajikuna aisee

P2 inamuumiza mwanamke
As raha watapata wote basi condoms zitumike.

Hii week stories za mimba zimekuwa nyingi.
Ila Jamani si mtumie condom au wameze P2

Leo humu ni mimba mimba

Mnavuna mlichopanda

Sasa hivi tunapokea Watoto wa March na April


Wa May muda wenu bado
 
P2 hapana
Watumie kondom
Wakiwashwa watajikuna aisee

P2 inamuumiza mwanamke
As raha watapata wote basi condoms zitumike.

Hii week stories za mimba zimekuwa nyingi.

Ila hao wadada nao hawajui siku Za hatari?
 
Ni miezi nane sio Saba bana mei mosi hesabu bhana imebaki mwezi mmoja tu ajifungue alitakiwa mwezi wa pili ajifungue sio wakumi na mbili
 
Eti tendo takatifu la ndoa.

Bro, hiyo ni ZINAA. Ni UCHAFU.

Linakuwa takatifu kwa wanandoa tu. Ndiyo maana mmebambikiana.

Huyo mwanamke ana miezi nane kasoro siku kadhaa. Na kama kajifungua njia ya kawaida ni Muongo. Premature wa njia ya kawaida ni miezi saba. Mwezi wa nane ikitokea premature basi ni kwa njia ya Operations kwa sababu ya Complications kibao. Nafasi ya wao kuishi pia ni ndogo mno.

Unapigwa.
 
lakini si unajua hizo siku ndio kipele uwa kinawasha sana?

Na kuna ile unahisi dates ni salama kumbe zenyewe zilikuwa ndo zinamalizikia na sperm zinaishi siku 3

Ila sasa kamdanganya mwenzie
 
Back
Top Bottom