mawaridi
Member
- Aug 30, 2015
- 47
- 123
Duchess of Sussex Meghan Markle mapema leo amejifungua mtoto wa kiume
Meghan alijifungua mtoto mnano saa moja asubuhi kwa saa za Afrika Mashariki, na Mama na Mtoto wanaendelea vizuri
Prince Harry amewashukuru wananchi kwa support yao katika kipindi chote, na bado wanafikilia jina la kumpa mtoto huyo
Hongera kwa Prince Harry na Duchess of Sussex Meghan kwa mtoto wao wa kwanza
Meghan alijifungua mtoto mnano saa moja asubuhi kwa saa za Afrika Mashariki, na Mama na Mtoto wanaendelea vizuri
Prince Harry amewashukuru wananchi kwa support yao katika kipindi chote, na bado wanafikilia jina la kumpa mtoto huyo
Hongera kwa Prince Harry na Duchess of Sussex Meghan kwa mtoto wao wa kwanza