Meena Ally anaharibu kipindi cha Amplifier

Meena Ally anaharibu kipindi cha Amplifier

Meena n mtangazaj mzur lakn kile kpnd cha amplfaya hakimfai anafanya knakosa mvuto kwa kmkatsha millady mambo meng anapokuwa anazngmza,pia anakuwa na masihara meng kwenye kpnd

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Mina hana chemistry yoyote inayoeleweka na Millard,,wamwamishe tu..amplifaya ilikuwa kipindi serious ila saivi utani na kuchekacheka kwingi tu..na chanzo ni huyu mpemba

Nanaa
 
Katika watangazi wa clouds ambaye simuelewei ni huyo Mina ally... May be wamekosea kumpangia kipindi, lakini nikicheki vipindi vya clouds labda aingie LEO TENA na sio kama co-presenter.
 
Alafu huyu atakua na asili ya upemba/ mzenji ktk kipindi cha xxl naona ana wapaisha sana kina Drak na DJ Khalid mara Aalyah japo fresh wanamuenzi kuhusu album yake,(wana asili uarabu) sasa huyu kiepe anazingua sana ktk kipindi...taarifa nyingine anagusia tuu, inabidi awe na Mchomvu wabishane vezoolee 😀😀😀
 
Back
Top Bottom