Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Wasalaam,
Hivi makamanda mnaojifanya sio watu wa shoo au kulove au kuopoa mademu mnaishije?
Je nyie mnatumia meditation za ulokole au inakuwaje?, fikiria daily mnaona misambwanda, chuchu, figure kama zote, lips kali, nyonyozi kama zote.
Tusaidieni na sisi tufanye meditation za hisia za kuvuta picha ya hizo pisi kali bila sex na bila masterbation.
Kama hio haiwezekani basi muwe mnasoma threads kwa kitulia msije na hates comments, jembe lisilotumika huota kutu na kuchujuka makali.
Kifaa kisichotumika hugeuka but na kusinyaa na kinaweza kutowekwa kuweni makini.
Wadiz........ heading for appointment. 🏃🏃🏃
Hivi makamanda mnaojifanya sio watu wa shoo au kulove au kuopoa mademu mnaishije?
Je nyie mnatumia meditation za ulokole au inakuwaje?, fikiria daily mnaona misambwanda, chuchu, figure kama zote, lips kali, nyonyozi kama zote.
Tusaidieni na sisi tufanye meditation za hisia za kuvuta picha ya hizo pisi kali bila sex na bila masterbation.
Kama hio haiwezekani basi muwe mnasoma threads kwa kitulia msije na hates comments, jembe lisilotumika huota kutu na kuchujuka makali.
Kifaa kisichotumika hugeuka but na kusinyaa na kinaweza kutowekwa kuweni makini.
Wadiz........ heading for appointment. 🏃🏃🏃