Meditation in your daily routine

Mshana mi nahitaji nije unifundishe

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni muda tu nilianza kufanya meditation na kufata kanuni mpaka za ulaji ( kutokula nyama) japokuwa kwa sasa napiga nyama kidogo ki aina

Nilikuwa kwenye path society moja hivi na nikaanza safari ya kiroho ( Spiritual journey) kwa lengo la kufika ktk enlightenment, sijafika na bahati mbaya sijaendelea

Nimekaa sana nilipokuwa naanza kwenye Breath meditation/Pumzi, nikaja kwenye Mantra (chanting) ndo nikaanza safari ya kiroho ku meditate kwenye nuru na sauti na kama nilivyosema sijafanikiwa kufika mwisho wa self-realization

Ila yote kwa yote meditation/Tahajudi ni kitu kizuri sana hasa kuweza ku control mazingira yetu japokuwa pia unaweza ingia ktk ku manipulate hali fulani na zingine ni kinyume na kanuni za maumbile na mwishoe unawajibishwa na maumbile kwa kukiuka huko

Bado nina meditate japokuwa sio kama zamani nilikuwa naweza kaa hata masaa matano ndani ya meditation, ila mimi muda mwingi nikiwa kwenye utulivu wowote tu automatic inakuja sauti na pia natumia sana binaural beats za ( meditation, calmness, sleeping, positive vibes, cleansing chakra/ Aura) ni mimi Earpod/earphones zangu tu

Asante Mshana Jr kwa kutoa elimu hii na ni muda wa watu wengi kuanza kufahamu hizi elimu , blessed
 

nimeupenda huu mrejesho ..hongera sana
 
Mkuu Mshana Jr nimeisikiliza hiyo "Buddhist song" mbona kama Ina vinanda vingi Sana na sauti za maneno, huoni kama Zita mchanga ya meditator? Kuna uhusiano gani wa yale maneno na ku-meditate, hata kama siyaelewi maana yake japo yananiondolea umakini kuyasikiliza Sio kama itakuwa inatengenezwa visualation/ imagination?
 
Hiyo midundo na hivyo vinanda ndio vinapeleka vibrations za ku trigger on tafakuri zako...lakini si lazima usikize hii tu zipo za kila aina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…