Burton86jm
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 616
- 183
Badr na Arabsat ni tofautiarabsat ni satelite gani? si ndio hio? naona watu wengi wanaeka na madish makubwa
Badr na Arabsat ni tofautiarabsat ni satelite gani? si ndio hio? naona watu wengi wanaeka na madish makubwa
inapATikana nyuzi ngapi?Badr na Arabsat ni tofauti
Arabsat 5C@20.0° E na Badr @26.0° EinapATikana nyuzi ngapi?
Tatizo zingine hazihami masafa, baadhi ya wenye channel wanabadilishaga masafa kila baada ya miezi 3. Utakuwa una kazi ya kumuita fundi abadilishe masafa manually ili uweze kupata upya hizo channels.sio lazima mediacom boss, nunua rcv yoyote ambayo ni mpg4 utaweza kupata chanel kibao
myoyambendi Vp ulifanikiwaa kupata channelsHUMAX IR2020HD
Kaka Chief-Mkwawa na mm nina hii decoder. Nimejaribu kuunganisha kwa kutumia dish la dstv kupitia satelaiti kadhaa... Channel zinaingia lakini hazionekani inaonesha smartcard failurenaziona zote kwa pamoja BADR 6 hio CNN na National Geographic sema kwa mbele ina neno abudhabi sasa sijui ni ya kiarabu au kingereza. cheki zaidi hapa
Badr 6 at 26.0°E - LyngSat
Hizo chanell ni FTA mkuu? Ama za kulipia?myoyambendi Vp ulifanikiwaa kupata channels
Kaka Chief-Mkwawa na mm nina hii decoder. Nimejaribu kuunganisha kwa kutumia dish la dstv kupitia satelaiti kadhaa... Channel zinaingia lakini hazionekani inaonesha smartcard failure
Sina uzoefu na hii kitu nimepewa decoder ina kadi 2 abudhabi na aljazeera. Any hints
Zimeingia channel zaidi ya 400 hata FTA kama ITV haioneshi au hizi ITV,CHANNEL 10, STAR siyo FTA? Naweza kuona DISH ile ya matangazo tu pamoja na CGTV documentaryHizo chanell ni FTA mkuu? Ama za kulipia?
Kama Azam ilikuwa na option ya Other Chanell ambapo tv zote zisizo za kulipia zinakaa, Jaribu kucheki FTA yoyote kama itaonesha
ina maana ipo sawa mkuu, hapo si muelekeo wa dstv? itv ya hapo ipo ndani ya package ya dstv huwezi iona.Zimeingia channel zaidi ya 400 hata FTA kama ITV haioneshi au hizi ITV,CHANNEL 10, STAR siyo FTA? Naweza kuona DISH ile ya matangazo tu pamoja na CGTV documentary
Inategemea ni model gani na unaielekezea wapiSo wadau. Receiver ya mediacom inaweza shika channel ngapi!? Za uhakika
1. Receiver ipi ya meadicom ni nzuri na bei yake?Inategemea ni model gani na unaielekezea wapi