Media kususia habari za fulani: Je, Tanzania tuna Independent Media yenye jeuri hiyo?

Wahariri walikubaliana kutoandika chochote kuhusu Makonda iwe kwa baya ama zuri....Ndio maana humu JF wakaharamisha jina la Makonda, Bashite na Daudi.

Walivyogundua uamuzi wao unampa unafuu Makonda wakageuka eti wataandika mabaya tu ya Makonda....

Hapo utagundua vyombo vyetu vya habari vinatumika tu.

Mimi napendekeza msiandike wala kuripoti chochote kuhusu Makonda iwe kwa jema au baya.
Mabaya yake tutaandika Sana Tu. ILA yeye akiwa na shughuli hatutairipoti na akija na taarifa hatutaisambaza. Ndiyo maana yake. Haimaanishi tutaacha kumtaja. Mvamizi atukere namna hiyo tuache hata kuendelea kumlaani? SI tutakuwa tumemsaidia?

Tutamwandika. Ila hatutaripoti shughuli zake.
 
Hata sisi hatutaki umbea wenu, na mkuu hatari kusikia. Tunataka habari za maendeleo. Wapiga dili na wabwia unga mmetuchoshaaaa, hatutaki habari zeenuuuu, wapelekeeni chalinzea. Tunataka viwanda.
 
Tutaanzisha magazeti ya mikoa. Kwanza hao wanajikomba gazeti lisomwe kigoma afu habari iliyopo RC Dar,alaaaah.
 
Hapo ndipo nnapoona bora huyo wanayemwita FA FAF FAAA FAAA kuliko hawa WANAHABARI .



Watalala njaa watanzania wanapenda vitu HOT HOT.


Kesho mh.Makonda akitimba tena Clouds kuwapa hi wana waandishi hawatahitaji Ubuyu upite lazima wahujumuwe hata kwa pesa wauze wapate cha juu.



Ni waandish wachache wanaoweza kwenda kijijin kulima habari iliyokomaa na kunona wakaileta mjini watu wakainunua,


Wengi wao weshazoea kutuletea chipsi yai maana weshajua hata wale wanaojifanya wanaume marijali wanapenda chips na zogo la vibarazan.
 
Nataka kuona kesho magazeti je yataacha, wakiacha basi vita imeisha, na mbabe wa vita atakua ameshinda.. Maana kutakua kimya
 
Hili wala si la kuumiza kichwa, kwa sababu Bashite muda wake kama RC unahesabika. Acha bwana Magu amkingie kifua, lakini ataufyata tu eventually.
 
Wewe ni mwiga namba moja kama kutamka anaye susiwa habari huwezi unaweza kujenga hoja gani?? Mwoga ila kukujibu ni haki yao kikatiba na ina matokeo chanya sana kwao na future ya media tz ila acha woga sema kususia habari za makonda fulani hiyo vepeee
 
Makonda ni taasisi inayojitegemea yaani kukosa kuripoti taarifa zake ni sawa na kujikosesha pesa....

Mie gazeti lisiporipoti habari za Makondaa silinunui....yani hapa ofisin kwetu tumeweka msimamo kabisaaa hatununui
 
Nimefuatilia na kusikia kuwa wanahabari wana mpango wa kuacha kuandika na kurusha habari za Mh RC Paul Makonda kama ndio tujiulize je kutakuwa na tija gani katika taifa zaidi ya kuwa na advantage kwake kwani hata bila ya scandal ya Clouds ilitegemewa na wengi aandikwe negatively tu kutokana na kashfa zilizokuwa zikimkabili.

Vipi ikiwa amefanya hilo tendo Clouds kwa mpango wa makusudi ili nyie muache kumuandika ambapo kwa upande mkubwa yeye pamoja na wengi tulitegemea angeandikwa negatively tu kutokana na tuhuma zilizokuwa zikimkabili sasa vipi mkiacha kuandika habari zake( esp kuhusu tuhuma zake) hamuoni pia atakuwa amejinafasi na ataweza kufanya atakayo akijua hakuna atakayerusha habari zinazomuhusu.

Msilikimbie suluhisho ambalo lipo wazi nalo ni kuacha kabisa habari za serikali kiujumla kama mnahisi imekosea kwa kutomuwajibisha RC Makonda, kwa kuwa impact itakuwa ni kubwa nina imani atawajibishwa kama kweli kakosea lakini mi naona kama mnatudanganya wananchi.
 
Nimefuatilia na kusikia kuwa wanahabari wana mpango wa kuacha kuandika na kurusha habari za Mh RC Paul Makonda kama ndio tujiulize je kutakuwa na tija gani katika taifa zaidi ya kuwa na advantage kwake kwani hata bila ya scandal ya Clouds ilitegemewa na wengi aandikwe negatively tu kutokana na kashfa zilizokuwa zikimkabili. Vipi ikiwa amefanya hilo tendo Clouds kwa mpango wa makusudi ili nyie muache kumuandika ambapo kwa upande mkubwa yeye pamoja na wengi tulitegemea angeandikwa negatively tu kutokana na tuhuma zilizokuwa zikimkabili sasa vipi mkiacha kuandika habari zake( esp kuhusu tuhuma zake) hamuoni pia atakuwa amejinafasi na ataweza kufanya atakayo akijua hakuna atakayerusha habari zinazomuhusu. Msilikimbie suluhisho ambalo lipo wazi nalo ni kuacha kabisa habari za serikali kiujumla kama mnahisi imekosea kwa kutomuwajibisha RC Makonda, kwa kuwa impact itakuwa ni kubwa nina imani atawajibishwa kama kweli kakosea lakini mi naona kama mnatudanganya wananchi.
Mkuu
donniebrasco wala usisikitike, lengo la tamko lile ni kufikisha tuu ujumbe kuwa tasnia ya habari imechukizwa na kitendo kile lakini kwa udhaifu wa media zetu na umasikini wetu, implementation ni close to zero! .
Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?.

Paskali
 
Nimefuatilia na kusikia kuwa wanahabari wana mpango wa kuacha kuandika na kurusha habari za Mh RC Paul Makonda kama ndio tujiulize je kutakuwa na tija gani katika taifa zaidi ya kuwa na advantage kwake kwani hata bila ya scandal ya Clouds ilitegemewa na wengi aandikwe negatively tu kutokana na kashfa zilizokuwa zikimkabili. Vipi ikiwa amefanya hilo tendo Clouds kwa mpango wa makusudi ili nyie muache kumuandika ambapo kwa upande mkubwa yeye pamoja na wengi tulitegemea angeandikwa negatively tu kutokana na tuhuma zilizokuwa zikimkabili sasa vipi mkiacha kuandika habari zake( esp kuhusu tuhuma zake) hamuoni pia atakuwa amejinafasi na ataweza kufanya atakayo akijua hakuna atakayerusha habari zinazomuhusu. Msilikimbie suluhisho ambalo lipo wazi nalo ni kuacha kabisa habari za serikali kiujumla kama mnahisi imekosea kwa kutomuwajibisha RC Makonda, kwa kuwa impact itakuwa ni kubwa nina imani atawajibishwa kama kweli kakosea lakini mi naona kama mnatudanganya wananchi.
Mkuu, amabcho hawatanya ni kuandika mazuri yanayomhusu ikwemo mikutano atakayoitisha, lakini mabaya yataandikwa.
 
Mkuu Tetty, issue hapa sio bahasha za khaki bali ni survival from he who pays the piper may call the tune.

Paskali

Nilitegemea waandishi ni wanaume,mngesusa kwa Mwezi mmoja tu kutoa picha ya Baby yake,kama leo waandishi wako Protea baby yake iko Bandarini
 
Back
Top Bottom