Kifaurongo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 4,217
- 2,354
Wewe unaona kauli hiyo tu ya MBOWE ndio inaashiria kuchafua amani ya nchi?/?///? Watu walisema KATIBA isipopita wataingia MSITUNI mbona hukuja hapa kusema ile kauli ni ya kuchafua Amani ya nchi????/?? ACHA MAHABA YASIO NA MAANA BHANA..!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wacha kupotosha. Hakuna WATU waliosema wataingia msituni, alisema mtu kama yeye binafsi ataingia mstuni. hakusemea watu.