Utakuwa mbumbumbu mpaka lini?, kwenye nchi yetu Azam TV tayari kajipambanua na ana haki ya kila kitu kwenye media, inapotokea simba umekosa ile media coverage kutoka Azam TV hiyo ni moja kufeli kwa timu ya simba, na hilo kosa ni la Mo dewji kuikataa ofa ya Azam na sio kwasababu ni ndogo ila ni kwasababu za wivu wake na UMBUMBUMBU mlinao wanasimbaumeandika pumba tu kijana
ndio maana nikasema mechi za simba kuoneshwa dstv
ukaamua kumaliza chaji kuandika utopolo mtupu
Mpaka sasa Azam media ndio wenye mamlaka ya kurusha mechi zote za ligi kuu. Yanga na Azam wameingia mikataba yao binafsi ya wao kwa wao.Mi nachoona kwa vile Simba hajaingia mkataba wa kurusha matangazo na Azam Kama yanga walivyofanya Simba anaweza akaingia mkataba na DStv vile vile mechi zake kurushwa
Simba bingwa miaka 4 mfululizoUtakuwa mbumbumbu mpaka lini?, kwenye nchi yetu Azam TV tayari kajipambanua na ana haki ya kila kitu kwenye media, inapotokea simba umekosa ile media coverage kutoka Azam TV hiyo ni moja kufeli kwa timu ya simba, na hilo kosa ni la Mo dewji kuikataa ofa ya Azam na sio kwasababu ni ndogo ila ni kwasababu za wivu wake na UMBUMBUMBU mlinao wanasimba
wewe huelewiYaaani ww kwa akili zako supersport aingie mkataba wa kurusha matangazo ya match za timu moja katika ligi Hahahaaa, katika nchi ambayo media flani imechukua haki za maonyesho ya mechi za ligi hiyo basi Media nyingine haiwezi kurusha matangazo hayo bila ya kupata ruhusa kwa mwenye haki hizo
Mtakuwa mbumbumbu mpaka lini?
Ubingwa wa kupikwa mtabeba hata mara 20 hilo liko wazi mbonaSimba bingwa miaka 4 mfululizo
msimu ujao tunarudia mpk mtoe huo mwiko nyuma
Hali si shwari huko Lamba lambani baada ya kumpa mlemavu nafasi ya kutukana matajiri.
Sasa matajiri nasikia wanapanga mechi zao kuoneshwa na Dstv kuanzia tamasha la Simba Day mpaka mechi za kimataifa.
Mimi kama shabiki wa Simba haswa tupo upande wa tajiri, hata kama hatuna ving'amuzi tutaenda vibanda umiza na tutaangalia tu
Enhee si wamemwaga ugali sisi tunakula mboga
Mo hata Dstv wakitoa hela kidogo wewe chukua tu
Mpaka watoke hadharani kutuomba msamaha kwa kumpa nafasi mlemavu
Big mind amuelewe small mind mbumbumbu katika hili hahaahwewe huelewi
kosa sio lako ni timu unayoshabikia
Mbumbumbu hawezi kuelewa hilo, uwanjani camera za kurusha match huwa zinaingia za media moja tu, hao wengine wananunua hizo rights za kurusha matangazo kwa mwenye umiliki wa haki hizo tuHalafu nani atakuwa anafanya shooting pale uwanjani ili hao DSTV waweze kurusha hizo mechi za Simba?
Maana kama ni mechi za TPL si kuna mkataba kati ya bodi ya ligi na Azam?
Ushawahi sikia kitu kinaitwa "tv broadcasting rights"
Hiyo kazi ya shooting tumewaachia dstv wenyeweHalafu nani atakuwa anafanya shooting pale uwanjani ili hao DSTV waweze kurusha hizo mechi za Simba?
Maana kama ni mechi za TPL si kuna mkataba kati ya bodi ya ligi na Azam?
Ushawahi sikia kitu kinaitwa "tv broadcasting rights"
Yani wewe huelewiMbumbumbu hawezi kuelewa hilo, uwanjani camera za kurusha match huwa zinaingia za media moja tu, hao wengine wananunua hizo rights za kurusha matangazo kwa mwenye umiliki wa haki hizo tu
We kweli kuku aliyekatwa kichwa ,unaangalia hata ligi za hapa Africa DStv wanazorusha ?mbali na hivo hujui kwamba Simba inaweza kuingia na mkataba DStv mechi zake irushwe lakini hata wakirushwa Azam coverage inaishia hapa ndaniYaaani ww kwa akili zako supersport aingie mkataba wa kurusha matangazo ya match za timu moja katika ligi Hahahaaa, katika nchi ambayo media flani imechukua haki za maonyesho ya mechi za ligi hiyo basi Media nyingine haiwezi kurusha matangazo hayo bila ya kupata ruhusa kwa mwenye haki hizo
Mtakuwa mbumbumbu mpaka lini?
Huo mkataba Azam na yanga wameingia unahusu nini ambao Simba hawakuingia ?Azam ana rights za kuingilia Mambo ya Simba wakati hana mkataba?Mpaka sasa Azam media ndio wenye mamlaka ya kurusha mechi zote za ligi kuu. Yanga na Azam wameingia mikataba yao binafsi ya wao kwa wao.
Hiyo kazi ya shooting tumewaachia dstv wenyewe
hapo sijaongelea tpl
nimetaja aina ya mechi
ni simba day na cl
hiyo tv broadcasting right ndio hiyo simba wana mpango wa kuwapa dstv
Ww mbumbumbu Dstv wanaingia mkataba na shirikisho kurusha matangazo ya mpira kwenye ligi husika na sio Club, uwe unaelewa mbumbumbu wa kike wwWe kweli kuku aliyekatwa kichwa ,unaangalia hata ligi za hapa Africa DStv wanazorusha ?mbali na hivo hujui kwamba Simba inaweza kuingia na mkataba DStv mechi zake irushwe lakini hata wakirushwa Azam coverage inaishia hapa ndani
Mpili Channel.Na za Ligi Kuu nazo mtaonyeshea wapi?