Mechi za Simba SC kuonyeshwa Dstv

umeandika pumba tu kijana
ndio maana nikasema mechi za simba kuoneshwa dstv
ukaamua kumaliza chaji kuandika utopolo mtupu
Utakuwa mbumbumbu mpaka lini?, kwenye nchi yetu Azam TV tayari kajipambanua na ana haki ya kila kitu kwenye media, inapotokea simba umekosa ile media coverage kutoka Azam TV hiyo ni moja kufeli kwa timu ya simba, na hilo kosa ni la Mo dewji kuikataa ofa ya Azam na sio kwasababu ni ndogo ila ni kwasababu za wivu wake na UMBUMBUMBU mlinao wanasimba
 
Mi nachoona kwa vile Simba hajaingia mkataba wa kurusha matangazo na Azam Kama yanga walivyofanya Simba anaweza akaingia mkataba na DStv vile vile mechi zake kurushwa
Mpaka sasa Azam media ndio wenye mamlaka ya kurusha mechi zote za ligi kuu. Yanga na Azam wameingia mikataba yao binafsi ya wao kwa wao.
 
Simba bingwa miaka 4 mfululizo
msimu ujao tunarudia mpk mtoe huo mwiko nyuma
 
wewe huelewi
kosa sio lako ni timu unayoshabikia
 

Halafu nani atakuwa anafanya shooting pale uwanjani ili hao DSTV waweze kurusha hizo mechi za Simba?

Maana kama ni mechi za TPL si kuna mkataba kati ya bodi ya ligi na Azam?

Ushawahi sikia kitu kinaitwa "tv broadcasting rights"
 
Halafu nani atakuwa anafanya shooting pale uwanjani ili hao DSTV waweze kurusha hizo mechi za Simba?

Maana kama ni mechi za TPL si kuna mkataba kati ya bodi ya ligi na Azam?

Ushawahi sikia kitu kinaitwa "tv broadcasting rights"
Mbumbumbu hawezi kuelewa hilo, uwanjani camera za kurusha match huwa zinaingia za media moja tu, hao wengine wananunua hizo rights za kurusha matangazo kwa mwenye umiliki wa haki hizo tu
 
Halafu nani atakuwa anafanya shooting pale uwanjani ili hao DSTV waweze kurusha hizo mechi za Simba?

Maana kama ni mechi za TPL si kuna mkataba kati ya bodi ya ligi na Azam?

Ushawahi sikia kitu kinaitwa "tv broadcasting rights"
Hiyo kazi ya shooting tumewaachia dstv wenyewe

hapo sijaongelea tpl
nimetaja aina ya mechi
ni simba day na cl

hiyo tv broadcasting right ndio hiyo simba wana mpango wa kuwapa dstv
 
Mbumbumbu hawezi kuelewa hilo, uwanjani camera za kurusha match huwa zinaingia za media moja tu, hao wengine wananunua hizo rights za kurusha matangazo kwa mwenye umiliki wa haki hizo tu
Yani wewe huelewi
unang'ang'ania mechi za tpl
mi nimesema mechi za simba day na cl
ila wewe ni uto haswa huo mwiko nyuma uondoe
 
We kweli kuku aliyekatwa kichwa ,unaangalia hata ligi za hapa Africa DStv wanazorusha ?mbali na hivo hujui kwamba Simba inaweza kuingia na mkataba DStv mechi zake irushwe lakini hata wakirushwa Azam coverage inaishia hapa ndani
 
Mpaka sasa Azam media ndio wenye mamlaka ya kurusha mechi zote za ligi kuu. Yanga na Azam wameingia mikataba yao binafsi ya wao kwa wao.
Huo mkataba Azam na yanga wameingia unahusu nini ambao Simba hawakuingia ?Azam ana rights za kuingilia Mambo ya Simba wakati hana mkataba?
 
Hiyo kazi ya shooting tumewaachia dstv wenyewe

hapo sijaongelea tpl
nimetaja aina ya mechi
ni simba day na cl

hiyo tv broadcasting right ndio hiyo simba wana mpango wa kuwapa dstv

Simba Day, yes kama Simba kaingia mkataba na Multichoice then wataoneshwa...

Lakini kwenye CL ya Afrika ile, CAF ndio wamiliki wa ligi na wana kipengele hicho cha "broadcasting rights" na kama sijakosea DSTV huwa wanaonesha zile mechi

CAF Champions League - Wikipedia
 
We kweli kuku aliyekatwa kichwa ,unaangalia hata ligi za hapa Africa DStv wanazorusha ?mbali na hivo hujui kwamba Simba inaweza kuingia na mkataba DStv mechi zake irushwe lakini hata wakirushwa Azam coverage inaishia hapa ndani
Ww mbumbumbu Dstv wanaingia mkataba na shirikisho kurusha matangazo ya mpira kwenye ligi husika na sio Club, uwe unaelewa mbumbumbu wa kike ww
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…