Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
Hawa wenzetu wamekuwa na vurugu na kuzomea badala ya support ,wamekuwa washamba sana kwenye soka na kusababisha vurugu .
Mechi za simba za kimataifa hapa nyumbani watangaze kwamba huingii uwanjani ukivaa njano au kijani.
Na watangaze kabisa kabla ya kuuza tickets ili simba tushabikie timu yetu vizuri siyo vyura wanakuja wanaanza kushabikia wageni bila kuwa wazalendo
Mechi za simba za kimataifa hapa nyumbani watangaze kwamba huingii uwanjani ukivaa njano au kijani.
Na watangaze kabisa kabla ya kuuza tickets ili simba tushabikie timu yetu vizuri siyo vyura wanakuja wanaanza kushabikia wageni bila kuwa wazalendo