Mechi za nje nacheza, kwa wife jogoo hawiki

Wakuu mimi nimepita tu mara moja mtaa huu. Endeleeni kumpa ushauri Kiranja Mkuu, naona mnatiririka tu hapa!!

Ushapigwa kitu mkuu!

ukome na videmu vyako vya mtaani.

kapige lamuli

umejaribu kubadili kiwanja......? hebu mpeleke mkeo kiwanja unachocheza na nyumba ndogo......
(
ningekuwa na uwezo ningechinja wanaume wote huku duniani)

Ushatengenezwa!

bado kugandiana tu..endelea kuhangaika tutakuona kwenye magazeti

Ushawekewa password na mume mwenzio weyeeeee!!! Kimbia Muhoro-Rufiji fasta wakakutengeneze.

msimtie moyo, huyu kiranja mkuu.............. yaani ukweli kwamba kuna kitambaa cha shughuli kimefishwa mahali kila siku kinawashiwa mshumaa na kuzimwa.......... manina wallah!............. sasa hapo usipokomaa mkeo nae akianza kuzunguka utakuwa kweishney.........

haya ndo matokeo ya umalaya na utakoma mwaka huu.......kidogo utashangaa mchumba wa huyo demu anakupiga kitu ngoma limoto.........iyo usiku na mchana hailali unakazi ya kuumia tu........hahahaahaha! sasa jiulize uko susceptible kwa kulogwa na wangapi?? kisa uchi tu??

Sasa ni zamu ya mkeo kutoka nje!

usharogeka wewe
 
Last edited by a moderator:
aya weeeeeeeeeeeeeeeeeee

demu wa uswazi keshakuendea kwa babu.....

hapo kwisha habari yako....

dah
:confused2::confused2::nimekataa

halafu shosti......nataka niende pale Michungwani.......nataka mtu chake akisikia jina langu.........sijui nisemeje hapa.....
 
Last edited by a moderator:
Umeshafanyiwa mambo demu c anajua una mke? Bac kafanya mambo il akuteke na wewe ukatekeka.
 
Toka na mkeo mkoani hivi au nje ya nchi (kama mkwanja ukiruhusu)........mkifika....huko... atakueleza.....lazima.....mkeo atageuka kuwa kale kakuku kako ka uswazi....! Ndio maana wazungu hutoka na wake zao at least once kila mwaka na kwenda mbali hadi huku africa......unadhani kisa nini......!?
 
masikini weeeeeeeeeee jamani me ningetamani hako kadushelele kawe kadogo kama ukucha wa kuku hadi utakapo sema ukweli kwa mkeo fanya masihara wewe m2 katoka kwa wazazi wake kaapa mbele za watu alafu umleteee ujinga
 
hUjarogwa, sasa wewe kama unatumika sana nyumba ndogo ukishachoshwa huko, ukirudi kwa mkeo lazima ilale doro.
 
What is this jamani?
Nikienda kwa kademu kangu ka uswazi, huko napiga mambo mpaka mtoto anadata, anawatukana hadi wazazi wake kwa kuweweseka na raha nimpazo.
Nikitaka kujirusha na mama mwenye ndoa yangu ni kasheshe, mtarimbo unalala doro, ukiinuka ndani ya dakika moja nisha piga bao na hausimami tena, hadi next week.
Jamani najihisi kabisa simtendei haki mke wangu, je nifanye nini ili nae nimpe raha kama anayoipata demu wa uswazi?
Pole wee... Kuchovyachovya, umechovya na pasipochovyeka. Mrudie Mungu wako la sivyo ndoa ndio inaota mbawa hivyo na muoteshaji ni weye.
 
Unabahati sio Temeke (aka mke wa mtu) angekuwa temeke mngegandana halafu tuje kuwaona live wanaJF wote humu
 
What is this jamani?
Nikienda kwa kademu kangu ka uswazi, huko napiga mambo mpaka mtoto anadata, anawatukana hadi wazazi wake kwa kuweweseka na raha nimpazo.
Nikitaka kujirusha na mama mwenye ndoa yangu ni kasheshe, mtarimbo unalala doro, ukiinuka ndani ya dakika moja nisha piga bao na hausimami tena, hadi next week.
Jamani najihisi kabisa simtendei haki mke wangu, je nifanye nini ili nae nimpe raha kama anayoipata demu wa uswazi?

chezea wanawake wakiswaz nini? haya ebu jaribu kumuomba mkeo tigo labda itasimama
 
Wameshakuwekea limbwata!!!! Ha ha ha!!! Ni adhabu ya kuiba iba nje!! Sasa kila siku wanakuwashia kibatari na mwisho utahamia jumla!!! Mkeo ni mzuri tu!! Rekebisha kasoro zilizopo!! Halafu safari moja huanzisha nyingine so kimada moja iko anjisha foleni ya vimada!! Mtandao hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!! Tuko wangapi?
 
msimtie moyo, huyu kiranja mkuu.............. yaani ukweli kwamba kuna kitambaa cha shughuli kimefishwa mahali kila siku kinawashiwa mshumaa na kuzimwa.......... manina wallah!............. sasa hapo usipokomaa mkeo nae akianza kuzunguka utakuwa kweishney.........

haya ndo matokeo ya umalaya na utakoma mwaka huu.......kidogo utashangaa mchumba wa huyo demu anakupiga kitu ngoma limoto.........iyo usiku na mchana hailali unakazi ya kuumia tu........hahahaahaha! sasa jiulize uko susceptible kwa kulogwa na wangapi?? kisa uchi tu??

Duh!!!
 
Yani aisay we ndo umekosa raha za dunia, wa nje unakula wa ndani haumli, uliwahi kuona wapi chakula cha nje kikawa kizuri, kuliko cha nyumbani.

BTW, Kuna dua sisi wa islamu tunasoma, kabla ya kuingilia wake zetu...wewe umewahi kulisoma dua hilo, kama ni mkristo we lia tu :biggrin1:
 
Ni wazi kwa maelezo yako nguvu yote unaitumia Uswazi. Ukirudi home zero energy. Kama unabisha acha kwenda huko uswazi uone kama kwa mkeo mambo hayatakuwa mazuri.
 
msimtie moyo, huyu kiranja mkuu.............. yaani ukweli kwamba kuna kitambaa cha shughuli kimefishwa mahali kila siku kinawashiwa mshumaa na kuzimwa.......... manina wallah!............. sasa hapo usipokomaa mkeo nae akianza kuzunguka utakuwa kweishney.........

haya ndo matokeo ya umalaya na utakoma mwaka huu.......kidogo utashangaa mchumba wa huyo demu anakupiga kitu ngoma limoto.........iyo usiku na mchana hailali unakazi ya kuumia tu........hahahaahaha! sasa jiulize uko susceptible kwa kulogwa na wangapi?? kisa uchi tu??

dah unaua vibaya....
 
Umepigwa pass word / pin number huko nyumba ndogo, ukifika anafungua, na ukiondoka anakufungia, amka!!! Heshimu ndoa yako!!
 
Back
Top Bottom