Tunisia wanakosa goli la wazi dakika ya 25' mpira unatoka mita chache golini, Tunisia tena dakika ya 27' wanagonga mwamba goli la Tanzania. Tunisia inaongoza goli 1 hapa Benjamin Mkapa kupitia
Na kocha hatuna inaonekana huko mazoezini anafundisha kubutua tu.Hawa jamaa wanacheza mpira wa kitabun, sie tunajiendea tu ka manyumbu
Mambo ya aggregate yanatokea wapi wakati hii ni hatua ya makundi nawala sio hatua ya mtoano.Tunisia wanakosa goli la wazi dakika ya 25 mpira unatoka mita chache golini, Tunisia tena dakika ya 27 wanagonga mwamba goli la Tanzania. Tunisia inaongoza goli 1 hapa Benjamin Mkapa . Aggregate goli 2 Tunisia inaongoza . Waarabu wanamiliki mipira kwa kiasi kikubwa Taifa Stars wanabaki kufukuza mpira wakisafa bila mafanikio . Hali ni mbaya kwetu Tanzania . Tazama live :
Jamaa wa Tunisia wanatunyanyasa kwa mpira safi wa uhakika hapa wanja wa nyumbani Dsm. Dakika 36 'Tunisia 1. Aggregate Tunisia wanaongoza kwa goli 2 , kwa goli moja walilopata huko Tunisia.Na kocha hatuna inaonekana huko mazoezini anafundisha kubutua tu.
Umesahau Tumefungwa 1 kule TunisiaMambo ya aggregate yanatokea wapi wakati hii ni hatua ya makundi nawala sio hatua ya mtoano.
mambo ya kujisahaulisha hayo.Umesahau Tumefungwa 1 kule Tunisia
Unaonekana kuyafurahia sana hayo matokeo!Jamaa wa Tunisia wanatunyanyasa kwa mpira safi wa uhakika hapa wanja wa nyumbani Dsm. Dakika 36 Tunisia 1. Aggregate Tunisia wanaongoza kwa goli 2 , kwa goli moja walilopata huko Tunisia.
Hapa tunapashana hali halisi ilivyo leo hapa Benjamin Mkapa. Jamaa wa Tunisia wametulia wanacheza kwa uhakika soka la kueleweka linalopendeza kuangalia. Tunatamani Taifa Stars nao wangekuwa wanatandaza kandanda la uhakika.Unaonekana kuyafurahia sana hayo matokeo!
Timu km hii unaingia na viungo wakutosha sio unatuwekea mkude na himdiJamaa wa Tunisia wanatunyanyasa kwa mpira safi wa uhakika hapa wanja wa nyumbani Dsm. Dakika 36 Tunisia 1. Aggregate Tunisia wanaongoza kwa goli 2 , kwa goli moja walilopata huko Tunisia.
🤣🤣🤣Huu ndiyo wakati muafaka wa NEC kufanya yao sasa! Tuondoke na ushindi wa kishindo!
mkuu hapa tupo makundi tunahesabu point tuJamaa wa Tunisia wanatunyanyasa kwa mpira safi wa uhakika hapa wanja wa nyumbani Dsm. Dakika 36 Tunisia 1. Aggregate Tunisia wanaongoza kwa goli 2 , kwa goli moja walilopata huko Tunisia.
Mkuu ukitoka studio njoo na uchambuzi wa mechiHalf time : Tanzania 0 : 1 Tunisia.
Mapumziko tunaenda studio, tutarudi kipindi cha pili.
Mkuu kuna wachezaji 170 wanacheza nje ya Tunisia...wengine hawaitwi...ligi kuu ya Misri wapo kumi tena wengine wapo Al ahly na Zamalek..Mchezaji mmoja tu ndiyo anacheza ligi ya ndani,wengine wote Ulaya. Kazi ipo
Tena sanaTofauti ya viwango km mbingu na ardhi,kazi tunayo kama nchi ktk masuala ya mpira.