Haya mambo ya permutations waachieni wazee wa namba....hapa kwemye fabo tuangalia unashinda vipi nyumbani.Kila kitu kinawezekana ni kocha na wachezaji kizichanga karata zao vizuri, pia sijajua Tunisia na Eq G yupi atakua nyumbani, kama Tunisia atakua home pia inaweza kua advantage kwa stars
Kiufupi sie afcon bye bye guinea atatuacha salama hapo kwake maana yeye hiyo ndio final.