Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,413
- 36,573
Tuwe wakweli hawa jamaa wametuacha mbali sana kisoka,wanagusa moja moja tu,sisi tunahangaika Sana.......tuache porojo mpira wetu upo chini sana
Huyo ndio hamna kitu kabisa mkuutunamtaka AMUNIKE
Tena mpaka natamani hata kuwashangiliaTuwe wakweli hawa jamaa wametuacha mbali sana kisoka,wanagusa moja moja tu,sisi tunahangaika Sana.......tuache porojo mpira wetu upo chini sana
BORA AMUNIKE,timu ya amunike ilikua inafika golini na shot ontargrt walikua wanapigaHuyo ndio hamna kitu kabisa mkuu
Labda wamepigwa misumaliYani viungo wetu kutuliza mpira wanashindwa,au hawa Tunisia wamevaa viatu tofauti na vyetu?
Amunike mechi alizoshinda alipangiwa kikosi na kamati ya ufundi Tfftunamtaka AMUNIKE
🤣🤣🤣Hili litimu limejaza makada wa CCM tuuu, bora lifungwe hata bao 20 shega tu.
Kwani ndio mnajua leo?! TFF imejaa mikia...halafu mikia kazi yao kuvizia usajili wa Yanga...marefa wetu ndio hivyo Tena...kiongozi wa klabu ni mipasho tu...waandishi ushabiki mbele hakuna uchambuzi wa maana...mitandaoni humu mashabiki ni kutukanana tu...Tuwe wakweli hawa jamaa wametuacha mbali sana kisoka,wanagusa moja moja tu,sisi tunahangaika Sana.......tuache porojo mpira wetu upo chini sana
Ssii tunadanganyana na haya mambo ya pira biriani sijui pira mpapaso.Tuwe wakweli hawa jamaa wametuacha mbali sana kisoka,wanagusa moja moja tu,sisi tunahangaika Sana.......tuache porojo mpira wetu upo chini sana
Juzi nilishangaa baada ya kuona WaTz wanashangilia kupigwa kimoja.....leo wanategemea matokea....kweli hatueleweki..........Tunisia ebu tandika hao nguruwe fc 3 bila ili wananchi kesho tuingie maofisin kwa raha mustarehe...
Kwani ndio mnajua leo?! TFF imejaa mikia...halafu mikia kazi yao kuvizia usajili wa Yanga...marefa wetu ndio hivyo Tena...kiongozi wa klabu ni mipasho tu...waandishi ushabiki mbele hakuna uchambuzi wa maana...mitandaoni humu mashabiki ni kutukanana tu...
Ukiangalia sisi wakipata mpira wanapagawa,kila mtu anapiga mbele tu kuondoa lawamaSsii tunadanganyana na haya mambo ya pira biriani sijui pira mpapaso.
Ona mafundi walivyo na composure on the ball hamna papara watu wanagusa kama wanacheza na marimba ya mzungu
Hawa ni Tunisia mkuu,then hizo nchi zina uraia pachaHata moroco wanatuzdi
Wenzetu wanatuacha wapi akina Madagascar
Kama vipi na sisi tuwaite magarasa yetu yanayocheza ulaya tujaribu labda watatoboa
😂😂festi hafu tungekula hata 3Kwani ndio mnajua leo?! TFF imejaa mikia...halafu mikia kazi yao kuvizia usajili wa Yanga...marefa wetu ndio hivyo Tena...kiongozi wa klabu ni mipasho tu...waandishi ushabiki mbele hakuna uchambuzi wa maana...mitandaoni humu mashabiki ni kutukanana tu...