Fei Toto Salum !
Kuna nini
Kwa hiyo Simba kuvizia usajili wa Yanga ndio imesababisha Watunisia watuache mbali kwa kiwango?Kwani ndio mnajua leo?! TFF imejaa mikia...halafu mikia kazi yao kuvizia usajili wa Yanga...marefa wetu ndio hivyo Tena...kiongozi wa klabu ni mipasho tu...waandishi ushabiki mbele hakuna uchambuzi wa maana...mitandaoni humu mashabiki ni kutukanana tu...
Kapiga goliKuna nini
Sii tunachezaga gombania goli mara oh beki hasifiwiUkiangalia sisi wakipata mpira wanapagawa,kila mtu anapiga mbele tu kuondoa lawama
Waarabu wanang'oa viti hukuKuna nini
Sawa tunajitaji matokeoKocha anamtoaje Bocco
Tutayapata tukiamuaSawa tunajitaji matokeo
kafanya Nini ?Huyu kapombe ovyo kabisaaa