Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,536
- 30,605
Dah afadhaliFT 1-1
Dah afadhaliFT 1-1
Usiniletee ukhanisi wako hapa, nenda kashangilie sare ng'ombe weweNi mapuuz ila bado hayajakufikia ,,sema upuuzi wako niwaviwango sana
Kila kitu kinawezekana ni kocha na wachezaji kizichanga karata zao vizuri, pia sijajua Tunisia na Eq G yupi atakua nyumbani, kama Tunisia atakua home pia inaweza kua advantage kwa starsKatika hizo match mbili tukipata point 4 n nzur sana kwetu
Nado sijui anakuwaga na papara za nini
Binafsi nafahamu hilo ,,ila tunakosea sana kuwatwisha mizigo ya lawama wale 11 wanaolipambania taifa kwa kuvuja jasho uwanjanMkuu jamaa anavyoshabikia upande wa pili binafsi namuelewa sana, siku zote hatuwezi kutatua matatizo kwa kujidanganya kua hayapo
Watu wasio na weredi karibu katika nyadhifa mbalimbali hapa nchini ndio wanaoiharibu sana nchi yeu, ndio wanaotupandikizia chuki miongoni mwetu na kutugawa yote kwa sababu ya faida yao na matumbo yao.
So relax wacha watu watoe maduku duku yao ya moyoni hua inasaidia sana kuponya, tena bora jamaa hajawa mnafki , ila wapo wengi tu
Binafsi mimi sishabikii Tunisia kwangu nipo neutral kama tutafuzu sawa kama hatutafuzu sawa, ila mambo yanayondelea nchi mwetu yasipo tokomezwa bado yataendelea kutugawa na kututafuna sana hata kwa vizazi vya watoto na wajukuu zetu.
Sisi mazwazwa tumefanikiwa kupata sare🚶🚶🚶Tunisia 2 - Mazwazwa 0
Wanavuja jasho kwani hawalipwi mkuu? Huo ni wajibu wao,, kumbuka shabiki ana haki zake kuu 2 za msingi,Binafsi nafahamu hilo ,,ila tunakosea sana kuwatwisha mizigo ya lawama wale 11 wanaolipambania taifa kwa kuvuja jasho uwanjan
La ...mpira ulisimama nikasinzia kidogo ,nilipoamka nikaanza kushangiliwa pira pilau !
bila kujua....baada ya Dk moja nikagundua kumbe hizo rangi tu wale Ni Tunisia!
Ila kiukweli sisi bado.....!
Hata droo Ni sawa tu ,just for ...status Quo!
Hata nyumbani ....no!
sisi mazwazwa tumeridhika na sareMazwazwa yalijazana kwa mkapa yakijua yatashinda
Ha ha haSii tunachezaga gombania goli mara oh beki hasifiwi
BORA AMUNIKE,timu ya amunike ilikua inafika golini na shot on targrt walikua wanapigaHuyo ndio hamna kitu kabisa mkuu
kwahiyo alizofungwa alikua anapanga yeye kikosi?thibitisha kama alikua anapangiwa kikosiAmunike mechi alizoshinda alipangiwa kikosi na kamati ya ufundi Tff
Yeye anajua mwantika tuu
Hapa ndio alibuki kabisaa...mipira ya juu watu wanachukua tuuKocha anamtoaje Bocco
Hapa chakufanya sasa ni kutuliza ball watafutwe makocha wazawa wakasomeshwe tuanze upya. Hawammakocha wakigeni naona tunawalipa hela bure tuu. Bora ata ale mzawa na timu ifungwe kuliko kuwalipa wakigeni na bado hamna matokeoWe need Amunike back