Mechi ya taifa stars vs Tunisia 17/11/2020 kuchezwa saa 20:00Pm, karibu kwa updates

Mkuu jamaa anavyoshabikia upande wa pili binafsi namuelewa sana, siku zote hatuwezi kutatua matatizo kwa kujidanganya kua hayapo

Watu wasio na weredi karibu katika nyadhifa mbalimbali hapa nchini ndio wanaoiharibu sana nchi yeu, ndio wanaotupandikizia chuki miongoni mwetu na kutugawa yote kwa sababu ya faida yao na matumbo yao.

So relax wacha watu watoe maduku duku yao ya moyoni hua inasaidia sana kuponya, tena bora jamaa hajawa mnafki , ila wapo wengi tu

Binafsi mimi sishabikii Tunisia kwangu nipo neutral kama tutafuzu sawa kama hatutafuzu sawa, ila mambo yanayondelea nchi mwetu yasipo tokomezwa bado yataendelea kutugawa na kututafuna sana hata kwa vizazi vya watoto na wajukuu zetu.
Binafsi nafahamu hilo ,,ila tunakosea sana kuwatwisha mizigo ya lawama wale 11 wanaolipambania taifa kwa kuvuja jasho uwanjan
 
La ...mpira ulisimama nikasinzia kidogo ,nilipoamka nikaanza kushangiliwa pira pilau !
bila kujua....baada ya Dk moja nikagundua kumbe hizo rangi tu wale Ni Tunisia!
Ila kiukweli sisi bado.....!
Hata droo Ni sawa tu ,just for ...status Quo!
Hata nyumbani ....no!
 
Binafsi nafahamu hilo ,,ila tunakosea sana kuwatwisha mizigo ya lawama wale 11 wanaolipambania taifa kwa kuvuja jasho uwanjan
Wanavuja jasho kwani hawalipwi mkuu? Huo ni wajibu wao,, kumbuka shabiki ana haki zake kuu 2 za msingi,

1. Ya kwanza kushangilia
2. Kulaumu/Kuzomea
 
La ...mpira ulisimama nikasinzia kidogo ,nilipoamka nikaanza kushangiliwa pira pilau !
bila kujua....baada ya Dk moja nikagundua kumbe hizo rangi tu wale Ni Tunisia!
Ila kiukweli sisi bado.....!
Hata droo Ni sawa tu ,just for ...status Quo!
Hata nyumbani ....no!
 
17 November 2020
Dar es Salaam, Tanzania

Venue : Benjamin Mkapa stadium
Full- time Results :
Tanzania 1 : 1 Tunisia
Goal scorers : Saîf-Eddine Khaoui for Tunisia and Feisal Salum for Tanzania
 
QUOTE="Acm98, post: 37321636, member: 608793"]
Katika hizo match mbili tukipata point 4 n nzur sana kwetu
[/QUOTE]
Hapana mkuu inabidi kwenye hizo NNE tumfunge Eq Guinea... maana anapoint 6 na halo tuombee Tunisia amfunge game ya mwisho...uhakika ni kushinda zote tu.
 
Salam nyingi mumfikishie Mkude na Nyoni msimaahau Kapombe na Feisal🙌🙌🙌🙌
Nchimbi kazingua kiasi kanfurasha kiasi pia🚶🚶🚶
 
We need Amunike back
Hapa chakufanya sasa ni kutuliza ball watafutwe makocha wazawa wakasomeshwe tuanze upya. Hawammakocha wakigeni naona tunawalipa hela bure tuu. Bora ata ale mzawa na timu ifungwe kuliko kuwalipa wakigeni na bado hamna matokeo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom