Dakika ya 47 ' : Fei Totoo Salum ! Shoot goooaal , Taifa Stars wanafunga bao la kusawazisha kwa shuti kali la Fei Toto.
Taifa Stars imeingia kipindi cha pili cha mchezo kwa uchu mkubwa.
Salum Abubakar anaingia kuchukua nafasi ya John Bocco Papaa
Tanzania 1 : 1 Tunisia
Taifa Stars imeingia kipindi cha pili cha mchezo kwa uchu mkubwa.
Salum Abubakar anaingia kuchukua nafasi ya John Bocco Papaa
Tanzania 1 : 1 Tunisia