Watu wa namna hii tuwe tunapoozia post zao tuMada za kifesibuku buku zimezidi sana siku izi utadhani fesibuku imefungiwa bhana
Kujamba Kuna ustaarabu wake. Huwezi kujamba mahali popote. Jifunze mkuu. Usijambe jambe hovyo.Mechi tatu za kimataifa.
Tuanze na SSC vs galax kwa mkapa kala tatu kisha kwa red arrow kala mbili na isingekuwa ile mimaji pale taifa idadi ingezidi
Manula mmanulo kweli.Manura hana kitu