you can't be both, player and judge. uongo kwa mujibu wa nani? ndugu huwezi kuelewa mambo ya Mungu kwa kuyatafakari au kuyajifunza kwa akili za kibinadamu. huo uwezo binadamu hana. ni kwa nguvu za Mungu mwenyewe waweza kuelewa mambo ya Mungu. yaani unahitaji kubomoa boksi ulilojifungia uanze kuangalia mambo freely ili uweze kuona mwanga Zaidi.
ok. hilo la kuachia lenyewe mwanadamu alishalichagua alipoasi maelekezo ya Mungu. hapo akaambiwa uliyoonywa na hukusikia sasa yatakupata. hakuna swali hapo. swali ni kuwa sasa mwanadamu yakishampata hayo je Mungu anaweza kuyatibu bila dawa za binadamu yaani kwa muujiza tu? je Mungu muweza wa yote anaweza hiyo?
1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..
Hivi mtu anaye apa kwa mwengine anakuwa Mungu au binadamu? Je, nani kaumba hapo. Maana Allah anaapa katika aliye umba, na kuumba ni sifa ya Mungu. Kumbe Allah hakuumba.
Takbiiiir hakika hawa wamewahi mizigo 40 huko peponi mda huu wanangonoka tu
Inshallah munyaizi Mungu atufanyie wepesi ili tuifikie hyo pepo yenye mabikra na mito ya ulevi