Mecca ndio mji bora duniani

Ngumu kuelewa? Ni kwa sababu ni uongo!
you can't be both, player and judge. uongo kwa mujibu wa nani? ndugu huwezi kuelewa mambo ya Mungu kwa kuyatafakari au kuyajifunza kwa akili za kibinadamu. huo uwezo binadamu hana. ni kwa nguvu za Mungu mwenyewe waweza kuelewa mambo ya Mungu. yaani unahitaji kubomoa boksi ulilojifungia uanze kuangalia mambo freely ili uweze kuona mwanga Zaidi.
 
wanavyo mpiga mawe shehetan
hivi kwa nini msimuombe Trum amshushie cruise misile amsambaratishe kabsaa
Naona bange lako unalochanganyaga na kinyesi limekolea....unaropoka tu....!
 
Hilo abfiko ni la uongo. Halipo kwenye Quran. Naona unalitumiaga sana kuchafua uislam. Weka maandiko ya ukweli.....kusema uongo haisaidii...
sema walahi bilahi watalahi hilo andiko halipo kwenye Qur'an wewe mgen ni mzushi
 
Tunataka tujue uwezo wa Mungu kuachia magonjwa yawapate watu.
ok. hilo la kuachia lenyewe mwanadamu alishalichagua alipoasi maelekezo ya Mungu. hapo akaambiwa uliyoonywa na hukusikia sasa yatakupata. hakuna swali hapo. swali ni kuwa sasa mwanadamu yakishampata hayo je Mungu anaweza kuyatibu bila dawa za binadamu yaani kwa muujiza tu? je Mungu muweza wa yote anaweza hiyo?
 
Mzushi kama PNC
NANI KAUMBA KIUME NA KIKE?
QURAN 92 1-3

1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..


Hivi mtu anaye apa kwa mwengine anakuwa Mungu au binadamu? Je, nani kaumba hapo. Maana Allah anaapa katika aliye umba, na kuumba ni sifa ya Mungu. Kumbe Allah hakuumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…