Unasema kweli poti?Aisee mkuu utapata pesa sana ,mirija itafunguka utaingiza mpunga sana huyo mdudu akiwa kwenye nyumba yako.
Kama tabata segerea maneneo ya chama huwa namuona sana huyo mida ya jioni nikitoka mazoezi.Nimekutana na huyu kiumbe nje ya Nyumba yangu jioni, hii namfananisha na Nungu Nungu japo Sina hakika.
Mwenye ufahamu na haya maswala ya wanyama na wadudu au Kama ni ishara yeyote anijuze.
Eneo naloishi si rahisi kwa kiumbe wa namna hii kuonekana, Naishi Dar Es Salaam Tabata na hakuna mapori
Ntanguliza Shukrani .View attachment 2413880
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Kweli wapoti.
Ni Nani alisemaga hayo mambo😂😂😂😂 hapa ndo napoonaga kwanini wazungu wanatuzidi kila kituAisee mkuu utapata pesa sana ,mirija itafunguka utaingiza mpunga sana huyo mdudu akiwa kwenye nyumba yako.