Mdudu gani huyu?

Mdudu gani huyu?

Mnyama piece sana uyo hanaga noma na mtu. Ungemuacha tu akaishi mitaa yake.
 
Karunguyeye,hana madhara.

Kuna dogo wangu mtaani anawafuga hao,maliasili.
 
Nimekutana na huyu kiumbe nje ya Nyumba yangu jioni, hii namfananisha na Nungu Nungu japo Sina hakika.

Mwenye ufahamu na haya maswala ya wanyama na wadudu au Kama ni ishara yeyote anijuze.

Eneo naloishi si rahisi kwa kiumbe wa namna hii kuonekana, Naishi Dar Es Salaam Tabata na hakuna mapori

Ntanguliza Shukrani .View attachment 2413880

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Kama tabata segerea maneneo ya chama huwa namuona sana huyo mida ya jioni nikitoka mazoezi.

Muache aendelee na maisha yake.
 
Ukiwa na Imani za kishirikina ni mtihani Sana

Ukiona hata unyoya WA kuku nje kwako unawaza mabaya Tu!

Tumuamini Allah ukweli WA kumwamini
 
Back
Top Bottom