Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,455
- 283,793
- Thread starter
- #21
Je tukifanya hivyo hatutashitakiwa? maana kuna haki za mtunzi, ila ngoja nimcheki whatsapp, akiruhusu nawekaCan any one share his Book here.
Je tukifanya hivyo hatutashitakiwa? maana kuna haki za mtunzi, ila ngoja nimcheki whatsapp, akiruhusu nawekaCan any one share his Book here.
Mdude to the next level,Mwashambwa naye ajitahidi aende hata Zambia akakutane na chama kilichoondolewa madarakani na upinzani.
kwelikabisa..the late BEN alikutana na mkono wa Martha mpaka kifochake hanahamuThe Iron Lady of East Africa
Sura ya mtu kumbe hufuata matendo ama taaluma.Mpigania Uhuru wa Tanzania, Mdude Nyagali amekutana na kufanya Mazungumzo na Mwanasiasa wa Kenya Martha Karua.
Taarifa kamili hii hapa
Nimefurahi kukutana na Matha Karua, kiongozi wa People's Liberation Party (PLP). Matha Karua ni kama Winnie Mandela wa Kenya kwa sababu kipaumbele chake ni haki za Wakenya na si vyeo. Nimefurahia sana kukutana kwangu na shujaa huyu. Nimemkabidhi kitabu kinachosimulia mateso yangu.
Angalia pia Hitler na Putin au Jiwe na Idd AminSura ya mtu kumbe hufuata matendo ama taaluma.
Huyu mwanamke kiongozi mbona ana sura kama Ananilea Nkya mwandamizi wa haki za binadamu Tz?
Nyumba ile ile chumba kile kile unayokuja kunitembelea!Unateseka ukiwa kibaigwa eneo gani?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nyumba ile ile chumba kile kile unayokuja kunitembelea!
Naona unaomba chabo nyumba ni ya ghorofa😀😀🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
We jamaa aisee!
Haa Wale Wa Lumumba Wanawaza UchawaMdude to the next level,Mwashambwa naye ajitahidi aende hata Zambia akakutane na chama kilichoondolewa madarakani na upinzani.
🤣🤣🤣🤣Naona unaomba chabo nyumba ni ya ghorofa😀😀
Mkuu mwezi mtukufu!🤣🤣🤣🤣
Nitatumia kiona mbali
😂😂😂😂Mkuu mwezi mtukufu!
Ndio inavyotakia kibibi kizee,akutane na wajukuu,awalee,sio kuzurura mahakamani ovyo.Mpigania Uhuru wa Tanzania, Mdude Nyagali amekutana na kufanya Mazungumzo na Mwanasiasa wa Kenya Martha Karua.
Taarifa kamili hii hapa
Nimefurahi kukutana na Matha Karua, kiongozi wa People's Liberation Party (PLP). Matha Karua ni kama Winnie Mandela wa Kenya kwa sababu kipaumbele chake ni haki za Wakenya na si vyeo. Nimefurahia sana kukutana kwangu na shujaa huyu. Nimemkabidhi kitabu kinachosimulia mateso yangu.