Hujui kwa statements zako unathibitisha ushiriki wa serikali kuua wananchi wake ?Mnalialia humu mlikua wapi kumkanya asitukane viongozi? takataka yule
Usijitoe ufahamu, stupid ass bitch. Anazungumzia viongozi wale heavy weights ndani ya chama, ni mmoja tu ndugu Nape aliyewahi kutishiwa na pistol hadharani na yule 'asiyejulikana' akaudhihirishia umma kuwa yeye ni mmoja wa untouchables kwani ile clip ilimuonyesha vizuri lakini polisi hawana jeuri hata ya kumuhoji japo kwa kutuzuga siye Wananzengo. Shame.
MchyuuMnalialia humu mlikua wapi kumkanya asitukane viongozi? takataka yule
Kutukana viongozi adhabu yake ni kuuawawa?
Hujui kwa statements zako unathibitisha ushiriki wa serikali kuua wananchi wake ?
Mchyuu
Povu la nini sasa!
Ukisoma historia ya ukoloni thus akuwaendeleza kielimu aliona ni hasara Kazi za matumizi ya akili huwa hawwawezi zaidi za nguvu nguvu thus walitumika kama makuli,manamba mashambani,hata nyerere alitaadharisha kuhusu haya makabila
Nitoke povu kwa upunguani usio na kichwa wala miguu? There is nothing personal here, tunafafanua tu mambo na kuweka records straight.
Nawewe anza kampeni za kutukana viongozi.
So kwako wewe viongozi ni miungu yako ?Nawewe anza kampeni za kutukana viongozi.
Mlitaka wasemeje kwa mfano.? Huyo dogo alishaonywa mienendo na matusi yake. Watu wamefanya kazi yao mnaanza kuleta usumbufu. Watu wanaangalia mambo mengine.Inasikitisha sana Mkuu..
Sijui hata nani wa kujibu kuhusiana na mtanziko huu mkubwa wa alipo MDUDE CHADEMA..
Picha chafu za Gwajima zimevuja jana tu Leo Polisi tayari muafaka umeshapatikana..
Lakini huyu ndugu ametekwa toka jmosi mpaka sasa wahusika wapo kimya.
Hizi ndio sera za CHADEMA hahahah ikulu mtaisikia tu wa..huni nyinyiAkwilina alitukana kiongozi gani?
So kwako wewe viongozi ni miungu yako ?
Damu isiposamehe hulipa kisasiKwa hali hii ya sintofahamu inayoendelea, huyu mtu hadi sasa ni mzima?, Je ameuawa?
Kwa kweli roho yangu inaumia sana yaani imekuwa baridi mno juu ya tukio hili la kutekwa na kutoonekana kwa huyu jamaa!.
What is going on kwa huyu kijana, Je ameuliwa?